Phiri:Sare Simba siri nzito
Kocha Mkuu wa Simba, Patrick PhiriWakati Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, akisema matokeo ya sare ambayo timu yake imeendelea kuyapata katika mechi za Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara yana siri nzito na yanazidi kumchanganya, Mecky Maxime anayeinoa Mtibwa Sugar amekivulia kofia kikosi cha Mzambia huyo kwa kusema kinakosa bahati tu.
Simba juzi iliendelea kupata sare na kufikisha pointi sita katika mechi sita walizocheza katika Ligi ya Bara msimu huu ambayo ilianza kupigwa kwenye viwanja...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
JK siri nzito
RAIS Jakaya Kikwete ana siri nzito moyoni ya kile anachotaka kuwaambia Watanzania wakati atakapolihutubia Bunge Maalumu la Katiba leo mjini Dodoma. Hotuba hiyo inayoashiria uzinduzi rasmi wa Bunge hilo la...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Siri nzito
SIKU moja baada ya marais wawili wa Tanzania kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa, viongozi wa dini za Kikristo na Kiislam wamehitimisha kikao chao wakiwa na siri nzito kuhusu mustakabali wa taifa. Baadhi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyWjVveS5cS4kFOotDNWCx8l8wEx5KJWDoF**0I-ncraAOv0RY1DZ23N2WibH4Q5DAm*c*M2U5nk1dN8LAWJh6rf/mastaa.jpg?width=650)
SIRI NZITO ZAFICHUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL9HzGeLIYvahjVhiA0B2jJfaIysv5A-geLRIGQiTWK3eYJp7HR0Zvk9niAjDB00rp9BzGiAX-hlGqcSsJu9LNIi/FRONT.jpg)
DIAMOND, JK SIRI NZITO!
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Siri nzito bidhaa za machinga
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Ugaidi Tanga Siri nzito
OSCAR ASSENGA, TANGA
WAKATI nchi ikiwa bado kwenye taharuki ya mashambulio yanayodaiwa kufanana na ya kigaidi yaliyotokea katika Kijiji cha Mleni nje kidogo ya Jiji la Tanga, kumezuka madai mapya yanayowashutumu viongozi wa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kutoa uamuzi wa haraka kudhibiti wahalifu hao.
Uzembe huo unadaiwa kufanywa na uongozi wa polisi makao makuu Dar es Salaam pamoja na Tanga na hivyo kutoa fursa kwa wahalifu kufanya mashambulio na baadaye kutoroka.
Chanzo cha kuaminika kutoka...
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Siri nzito CCM 2015
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0EhPSKTFjZkPAVWypJCDgDXOMo*W5oNvvZWnUgVMaTOZtTAFJVPUCiZaLeKwltoo621HBnxOQf8LSQgvQbu3L9/OKWI.jpg?width=600)
SIRI NZITO USAJILI WA OKWI YAANIKWA
10 years ago
Vijimambo18 Dec
Mkwasa atoa siri nzito Yanga
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Boniphace-Mkwasa--December18-2014.jpg)
Ofisa Mtaalam wa Mafunzo wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Mkwasa amesema ana mkataba wa kuinoa Yanga aliopewa na uongozi wa Wanajangwani kabla ya kuchezwa kwa mechi ya 'Nani Mtani Jembe 2'.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi, Yanga ilipokea kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Simba, matokeo ambayo yamewafukuzisha kazi aliyekuwa Kocha Mkuu, Mbrazil Márcio...