LIVERPOOL HOI KWA ARSENAL
![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH3ZCi78v*Wdtuvf3TZ2pFWHhyYveUy2oPj2b-kXyJv0M*BR2kVIYAcJoiR7SMwb36b8*hgA8xZlZN2PmK42zGZg/2.jpg)
Wachezaji wa Arsenal wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Oxlade-Chamberlain dakika ya 16. Lukas Podolski akiifungia Arsenal bao la pili katika dakika ya 47 ya mchezo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
Arsenal yaua, Liverpool hoi UEFA
Arsenal usiku wa kuamkia Alhamis ilishinda mabao 4 - 1 dhidi ya Galatasaray huku Liverpool ikifungwa goli 1- 0 na FC Basel.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8Jkx9tqLLEZuVXqtKJNLo8dU105AccCNP--rmWBAat6zxFi89qt3*mfGhQqBOEmHIVDMV86f97S22-ULQs36La*W/ROBEN.jpg)
ARSENAL HOI KWA BAYERN
Wojciech Szczesny akijaribu kumzuia Arjen Robben bila mafanikio. Kipa wa Arsenal, Wojciech Szczesny…
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/123.jpg)
ARSENAL HOI KWA WEST HAM
Mauro Zarate (katikati) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia West Ham bao la pili katika dakika ya 57. Mashabiki wa West Ham wakishangilia ushindi dhidi ya Arsenal leo. Patashika langoni mwa West Ham.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bj2W2lC87BUZYVsVQ7kDmPYhfx*m*WYzS0AzbbQus7lWyyg-GyrO76omemBQY7EgCXsguM-yIyGUvL*-rJS*z2/a.jpg)
LIVERPOOL HOI KWA CHELSEA, YALALA 2-0
Demba Ba akiifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 45 ya mchezo. Chelsea wakishangila bao lao la kwanza. Liverpool hoi baada ya…
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Liverpool yaambulia sare kwa Arsenal
Liverpool wakiwa uwanja wa nyumbani Anfield, wamenusurika kupata kichapo toka kwa Arsenal kwa kupata sare ya goli 2-2.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jxmvA08zmRrjkJoLWzX7MTDfin62Cu1gfaPe3f5YzZ1TAmNHhTLrTpdbSF7rvV1RFW9s*O2wqoQjghyHy33*bEFXh*LFMT0P/article277172421B43F610000057832_964x383.jpg?width=650)
LIVERPOOL HOI YASHIKWA NA EVERTON
Wachezaji wa Everton wakishangilia baada ya Phil Jagielka (kulia) kufunga dakika ya 90 dhidi ya Liverpool.…
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Arsenal hoi dhidi ya Monaco UEFA
Matumaini ya Arsenal kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano Klabu Bingwa Ulaya imeingia nyongo baada ya kubali kipigo kutoka kwa Monaco ya Ufaransa cha 3 - 1.
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Liverpool hoi, Man City v Utd
Newcastle United imeendeleza rekodi nzuri dhidi ya vigogo wa soka kwenye Ligi Kuu England baada ya kuilaza Liverpool kwa bao 1-0 jana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DTPaZf2h*CZuzJ9-KLdk0e8rA4GOM78UaDvPXrvKwlWZISXdqy7o2bbJvrLaFv6KHQzP8Qp9LnwmvYOsnAXeLn2/BONY.jpg)
MATOKEO RAUNDI YA 3 KOMBE LA FA: LIVERPOOL, CHELSEA ZAPETA, MAN UTD HOI
Wilfried Bony wa Swansea baada ya kufunga bao la pili na la ushindi dhidi ya Manchester United.
Mchezaji wa Manchester United, Danny Welbeck, akiwa kichwa chini miguu juu wakati wa mtanange huo uliomalizika kwa Swansea kushinda 2-1. Manchester United 1-2 Swansea City…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania