LIVERPOOL HOI KWA CHELSEA, YALALA 2-0
![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bj2W2lC87BUZYVsVQ7kDmPYhfx*m*WYzS0AzbbQus7lWyyg-GyrO76omemBQY7EgCXsguM-yIyGUvL*-rJS*z2/a.jpg)
Demba Ba akiifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 45 ya mchezo. Chelsea wakishangila bao lao la kwanza. Liverpool hoi baada ya…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb1-WE5RC-pcbjWk7iXnUI-Ehw2qaOEwTR9*In0gOsELlRQBZEAzg*frxNVNTd*n9QdLqfnM-6od-pXqOR1hS8Ah/barca.jpg)
MAN CITY HOI KWA BARCELONA, YALALA 2-0
Wachezaji wa Barcelona, Fabregas na Iniesta wakimpongeza Messi baada ya kufunga bao la kwanza. Beki wa Man City, Martin Demichelis akimchezea Messi rafu iliyopelekea penalti na kadi nyekundu.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DTPaZf2h*CZuzJ9-KLdk0e8rA4GOM78UaDvPXrvKwlWZISXdqy7o2bbJvrLaFv6KHQzP8Qp9LnwmvYOsnAXeLn2/BONY.jpg)
MATOKEO RAUNDI YA 3 KOMBE LA FA: LIVERPOOL, CHELSEA ZAPETA, MAN UTD HOI
Wilfried Bony wa Swansea baada ya kufunga bao la pili na la ushindi dhidi ya Manchester United.
Mchezaji wa Manchester United, Danny Welbeck, akiwa kichwa chini miguu juu wakati wa mtanange huo uliomalizika kwa Swansea kushinda 2-1. Manchester United 1-2 Swansea City…
11 years ago
BBCSwahili29 Mar
Chelsea yalala kwa Palace
Matumaini ya kuchukua ubingwa wa ligi kuu England kwa Chelsea yamedidimia baada ya kipigo cha 1-0.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH3ZCi78v*Wdtuvf3TZ2pFWHhyYveUy2oPj2b-kXyJv0M*BR2kVIYAcJoiR7SMwb36b8*hgA8xZlZN2PmK42zGZg/2.jpg)
LIVERPOOL HOI KWA ARSENAL
Wachezaji wa Arsenal wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Oxlade-Chamberlain dakika ya 16. Lukas Podolski akiifungia Arsenal bao la pili katika dakika ya 47 ya mchezo.…
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Chelsea hoi kwa Sunderland Capital One
Sunderland imesonga mbele hatua ya nusu fainali ya michuano ya ya Kombe la Capital One baada ya kuichapa Chelsea mabao 2-1.
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Man U yalala,Arsenal yawika,Chelsea sare
Arsenal ilinusurika dakika za lala salama na kuweza kuishinda Crystal Palace mabao 2-1 na kupanda hadi nafasi ya tatu katika ligi
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Liverpool yatupwa kwa Chelsea
Liverpool itakutana na Chelsea katika nusu fainali ya Kombe la Ligi baada ya Raheem Sterling kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth juzi, wakati Tottenham ikishinda kirahisi 4-0 mbele ya Newcastle.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8Sfiec2kFV8TNjZvyiJ8E-7qefMafhNURpkEk20YUqJ0C0vqpgnue851t967UiNgFkjO49IPvFy7NDlJp5-MfML4QGnJ9Rw/CHELSEA4.jpg?width=650)
CHELSEA YASHINDA 2-1 KWA LIVERPOOL
Mchezaji wa timu ya Liverpool akishangilia Can jumps  baada ya kufunga bao dakika ya tisa kipindi cha kwanza. Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa  (kulia) akifunga bao la pili dakika ya 67 kipindi cha pili.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jxmvA08zmRrjkJoLWzX7MTDfin62Cu1gfaPe3f5YzZ1TAmNHhTLrTpdbSF7rvV1RFW9s*O2wqoQjghyHy33*bEFXh*LFMT0P/article277172421B43F610000057832_964x383.jpg?width=650)
LIVERPOOL HOI YASHIKWA NA EVERTON
Wachezaji wa Everton wakishangilia baada ya Phil Jagielka (kulia) kufunga dakika ya 90 dhidi ya Liverpool.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania