Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea yatoka sare ya 1-1 na West Brom

Chelsea imepoteza nafasi ya kusalia kileleni mwa ligi kuu ya Premier baada ya kutoka sare na West Brom

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Man Utd yaambulia sare ya 2-2 na West Brom.

Ligi kuu ya England imeendelea jana usiku ambapo Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu na kushindwa kufurukuta ugenini kwa Westbromwich Albion na kutoka sare ya mabao 2-2 licha kwamba ilitawala mchezo huo.

 
Mchezo huo wa pekee kwa ratiba ya ligi hiyo ulishuhudiwa Man United ikishindwa kupata walau ushindi wake wa kwanza nje ya uwanja wake wa nyumbani tangu timu hiyo iwe chini ya kocha Louis Van Gaal.

 
Ni bao la Daley Blind katika dakika za mwisho za mchezo ambalo limeiokoa Manchester...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatoka sare na Southampton

Chelsea imeendeleza uongozi wake katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kupata droo ya 1-1 dhidi ya Southampton

 

9 years ago

BBCSwahili

West Brom 2-3 Chelsea 72''

West Brom wanaialika Chelsea nyumbani kwao huku wakifahamu fika kuwa kocha Mourunho anahitaji ushindi kwa udi na uvumba kufufua kampeini yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatoka sare na Mancity darajani

Chelsea iliimarisha uongozi wake katika jedwali la ligi ya Uingereza dhidi ya Manchester City baada ya kutoka sare ya 1-1.

 

10 years ago

BBCSwahili

West Brom waifunga Chelsea 3-0

West Brom imewachabanga mabingwa ligi kuu ya England Chelsea jumla ya mabao 3-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yalimwa,Chelsea yatoka sare

Manchester United ilikosa fursa ya kupanda juu na pointi kumi dhidi ya Liverpool baada ya kulazwa mabao matatu bila na kilabu ya Everton.

 

10 years ago

Vijimambo

Juan Quadrado atua Chelsea, Fletcher wa Man U atimkia West Brom, Andre Schurrle ameuzwa Wolfsburg

imageimageChelsea wamemsajili winga Juan Cuadrado kutoka Fiorentina, katika biashara kubwa zaidi iliyofanyika siku ya mwisho ya usajili wa dirisha dogo.

Jose Mourinho alikuwa akidai kwamba hawangesajili mchezaji yeyote wakati huu, lakini wametoa pauni milioni 23.3 kumnasa mchezaji huyo, na kufanya jumla ya fedha zilizotumiwa na klabu za ligi kuu kwenye usajili huu kufikia pauni milioni 130.

Matumizi hayo ni sawa na ya kipindi kama hiki msimu uliopita, lakini ni madogo zaidi ya Januari 2011 yaliyokuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

SARE SARE MAUA YA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN

Kanye West Kim Kardashiani wakiwa wamevaa ngua zinazofanana siku ya Alhamisi mitaa ya New York City,  Jimbo la New York nchi Marekani

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yatoka sare

Bingwa wa zamani wa ligi ya Uingereza Manchester United kwa mara nyingine wamezuiliwa na timu ya Stoke City

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani