Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Linah Azianika Hisia Zake kwa Wema

Msanii wa muziki Linah Sanga, ambaye anapambanishwa kwa sasa na staa wa filamu Wema Sepetu kutokana na kitendo cha mwigizaji huyo kuanzisha mahusiano na mwanaume aliyekuwa ni mpenzi wa Linah kipindi cha nyuma, ameamua kutoa ya moyoni.

Linah ameieleza eNewz kuwa, licha ya yote yaliyotokea kati yao, kwa upande wake anamchukulia Wema kama mtu mwingine wa kawaida, akieleza kuwa hana kinyongo naye, akieleza dhahiri kuwa anaelewa kuwa staa huyo ana madhaifu yake kama ilivyo kwa binadamu mwingine...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...


LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...Linah amesema anatarajia kumtangaza rasmimpenzi wake mpya ambaye amedai ni msaniimkubwa wa nchini Nigeria.LinahAkizungumza na kipindi cha Planet Bongo chaEast Africa Radio, Linah alisema anampendampenzi wake huyo mpya na kwamba siku ikifika,ataamua kumweka wazi ili mashabikiwamtambue.“Uhusiano wangu mpya ni wa msanii mkubwasana, yaani huyo nampenda na hii sio project iporeal, mtamuona tu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Andre Schurrle aeleza hisia zake

Mchezaji wa zamani wa Chelsea Andre Schurrle amesema alipata mshangao kuona ujumbe wa maandishi kuwa medali inamsubiri yeye

 

11 years ago

GPL

ACHA KUMUUMIZA MOYO WAKE, THAMINI HISIA ZAKE!-2

KARIBU kwenye All About Love, bila shaka kuna vitu vipya vingi unavyovuna katika ukurasa huu. Kama ni mara ya kwanza kusoma hapa, tabasamu maana umeingia kwenye ulimwengu wa elimu kubwa ya uhusiano na mapenzi. Unaweza kunisoma pia kwenye Let’s Talk About Love kwenye gazeti la Ijumaa, Elimu ya Mapenzi katika gazeti la Championi Jumamosi na Love & Life ndani ya gazeti la Uwazi kila Jumanne. Ungana nami uzidi kukuza ufahamu...

 

10 years ago

GPL

WEMA AMKEJELI LINAH!

Imelda Mtema
NI shiida! Siku chache baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ kulalamika juu ya kitendo cha Wema Sepetu ‘Madame’ kumchukua aliyekuwa bwana’ake Nangari Kombo, muigizaji huyo ameibuka na kutoa maneno yanayoashiria kejeli, kuwa aache presha, kwani zile ni picha tu! Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madame'. Katika gazeti la Risasi Jumamosi,...

 

10 years ago

GPL

WEMA LIVE KITANDANI NA BWANA WA LINAH

Mwandishi Wetu
Ubuyu! Staa wa Bongo Fleva almaarufu Ndege Mnana, Esterlina Sanga ‘Linah’, amedai kunasa ‘live’ tukio la mkali wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu akiwa kitandani na aliyewahi kuwa bwana’ke (Linah), Nangari Kombo ambaye alipata umaarufu mwaka 2010 alipoingia kwenye Uwanja wa Taifa, Dar na kumkumbatia Mchezaji wa Brazil, Ricardo Kaka kwenye mechi ya kirafiki kati ya timu hiyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Linah Bado Ana Dukuduku na Wema

Siku chache baada kuenea kwa taarifa za kuporwa bwana na Wema Sepetu, staa wa Bongo Fleva Esterlinah Sanga ‘Linah’ amefunguka kuwa bado ana dukuduku kubwa moyoni ambalo anajipanga hivi karibuni kulianaika hadharani kwa njia ya tamko rasmi ambalo atalitoa kwa njia hiyo hiyo ya mtandao

Kwa mujibu wa linah ,amesema kuwa tamko hilokwa sehemu linahusiana na tuhuma za kulalamika kuibiwa  bwana, kitu ambacho kinaendelea akiwa haoni sababu ya kuendelea kukaa kimya zaidi na kuumia roho.

Linah...

 

10 years ago

Vijimambo

WEMA SEPETU ALIZUA JIPYA AKWAPUA BWANA WA LINAH SANGA.


Hii ndiyo picha iliyochafua hali ya hewa kati ya Wema na Linnah inasemekana ilipigwa kwenye sita kwa sita na huyo boyfriend wa Linnah. Jitiririshe hapa chini kusikia Linnah anaongea nini juu ya hii habari amabyo ndiyo joto la mjini bongo kwa sasa kunako mitandao ya kijamii.

Madam Wema Sepetu amkwapua bwana wa Linah Sanga akiongea kwa uchungu msanii huyo wa bongo fleva kwenye kipindi cha Ala za roho,Amedai penzi lake limekwenda na maji baada ya madam kufanya yake.Bwana huyo ndie alikua meneja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani