LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...
![](http://3.bp.blogspot.com/-HnOpTiyGrBA/VXnHxiZs_nI/AAAAAAAAvik/ZLH-IHn63IU/s72-c/officiallinah1.jpg)
LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...Linah amesema anatarajia kumtangaza rasmimpenzi wake mpya ambaye amedai ni msaniimkubwa wa nchini Nigeria.LinahAkizungumza na kipindi cha Planet Bongo chaEast Africa Radio, Linah alisema anampendampenzi wake huyo mpya na kwamba siku ikifika,ataamua kumweka wazi ili mashabikiwamtambue.“Uhusiano wangu mpya ni wa msanii mkubwasana, yaani huyo nampenda na hii sio project iporeal, mtamuona tu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Obama atoa onyo kali kwa Urussi
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJPiNuILdphwjCX7SVYBvOAqfUZPhN0WoxEPHSv78tkFoGQFK2fzDPuBNRCqiYmjCbnWolJm7OpbGv-PPNcVESxf/1.jpg?width=650)
LINAH ATOA MISAADA KWA WAJANE, VIKONGWE YOMBO JIJINI DAR
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Abramovich atoa onyo kali kwa nyota Chelsea
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU ATOA ONYO KALI KWA WANAOKIKA SHERIA NA KUTOA MAELEKEZO KWA NEMC
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aE_F3-FoGS8/U8l3cdORocI/AAAAAAAF3gU/TmoGR6rwqRU/s72-c/unnamed+(78).jpg)
Waziri wa Mazingira atoa onyo kali kwa kiwanda cha NIDA Textile Mills Ltd kwa kukiuka taratibu za usafi
![](http://4.bp.blogspot.com/-aE_F3-FoGS8/U8l3cdORocI/AAAAAAAF3gU/TmoGR6rwqRU/s1600/unnamed+(78).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zOhR2A0mxtQ/U8l3cm9gz0I/AAAAAAAF3gY/UfnTAlFvHtc/s1600/unnamed+(80).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tMNMUEhIXXk/U8l3c5CO0YI/AAAAAAAF3gc/CcQx-XJewds/s1600/unnamed+(81).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-i-ePievu93c/VD0hVHVgCNI/AAAAAAAAE2Q/CxYenqcaxQU/s72-c/IMG-20141014-WA0000.jpg%20cursor:%20pointer;)
ANGALIA PICHA MWANAJESHI ATOA ADHABU KALI KWA RAIA ALIYEVAA NGUO ZA JESHI
![](https://lh6.googleusercontent.com/-i-ePievu93c/VD0hVHVgCNI/AAAAAAAAE2Q/CxYenqcaxQU/IMG-20141014-WA0000.jpg%20cursor:%20pointer;)
Raia huyo alikutana na adhabu kali za mwanajeshi huyo baada ya kukutwa amevaa mavazi halisi ya jeshi la Tanzania maeneo ya Kariakoo Dar es Salaam.Jamaa huyo alipokamatwa na kushindwa kutoa maelezo ya kuridhishaakaamriwa kuvua mavazi hayo na kisha kuaza kutumikia mazoezi ya hatari ..Haya mavazi raia wanayapenda ila kwenda kutumikia jeshi hawataki ...ahahaaa jamaa alichokipata hawezi kutamani...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s72-c/unnamed+(17).jpg)
MWENYEKITI CCM TAWI LA MOSCOW URUSI ATOA MSIMAMO WAKE JUU YA MCHAKATO WA KATIBA, ASEMA SERIKALI MBILI NDIO SULUHISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mwenyekiti tawi la CCM Moscow Ndg Mfungahema Salim amesema muundo wa muungano wa serikali Mbili ndio suluhisho pekee la watanzania, Akizungumza katika kikao cha kamati ya siasa ya tawi kilichofanyika 05.06.2014, bwana Mfungahema alisema muungano wa serikali mbili ndio umetufikisha hapa tulipo na kuna mafanikio makubwa TULIYOYAPATA, pamoja na changamoto chache zinazojitokeza lakini zinarekebishika.
Bwana Mfungahema aliwataka...