David Beckham amepewa Tuzo ya Legend of Football Award
Mchezajia mkongwe wa soka duniani David Beckham ambaye pia aliwahi kuwa nahodha wa England amedhihirisha kuwa alitumia vyema nafasi yake akiwa uwanjani na kujenga jina na heshima kwenye soka ambayo itamfanya akumbukwe duniani. Beckham ambaye alizichezea klabu za Manchester United na Real Madrid,Ac Millan,PSG ametunikiwa Tuzo ya heshima hii ni ishara ya kuutambua mchango wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mtoto wa David Beckham asaini kucheza Arsenal
10 years ago
Bongo501 Dec
David Beckham apata ajali akiwa na mwanae
9 years ago
Bongo528 Sep
Ripoti: Ndoa ya David na Victoria Beckham ipo kwenye mawe
10 years ago
CloudsFM23 Dec
ELTON JOHN AFUNGA NDOA RASMI, DAVID BECKHAM AHUDHULIA
GWIJI wa muziki wa Rock Uingereza, Sir Elton John amefunga ndoa na mpenzi wake David Furnish ikiwa ni miaka tisa tangu Desemba 21, 2005 walipoingia katika uhusiano huo wa watu wenye jinsia moja.
Walifunga ndoa mbele ya wanafamilia, marafiki na wageni wachache walioalikwa huko Windsor nchini England.
Waalikwa wengi wao walikuwa watu maarufu wakiwemo: Familia ya David na Victoria Beckham, David Walliams na mkewe Lara Stone, Liz Hurley na mwanaye Damian, waliowasili kwa usafiri wa gari katika...
9 years ago
Bongo514 Nov
Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid
![david_beckham-759](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/david_beckham-759-300x194.jpg)
David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.
Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,
“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...
9 years ago
Bongo520 Nov
Ushauri wa David Beckham kwa mchezaji Memphis Depay kuhusu Jezi namba 7
![ad_178359848-e1446801336562](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ad_178359848-e1446801336562-300x194.jpg)
Jezi namba 7 ni miongoni mwa jezi zenye heshima kubwa katika klabu ya Manchester United na moja kati ya watu walioipatia heshima jezi hiyo ni David Beckham na Cristiano Ronaldo.
Memphis Depay aliyesajiliwa msimu huu na klabu ya Manchester United akitokea PSV Endhoven ya Uholanzi kwa dau la pound milioni 25 ambaye ndo anavaa jezi hiyo kwa sasa.
Depay ambaye kwa wiki za karibuni amekuwa akikaa benchi na mchezaji Jesse Lingard kuchukua nafasi yake, inatajwa kuwa na presha kubwa kutokana na...
9 years ago
Bongo509 Sep
David Beckham akanusha uvumi kuwa ana mpango wa kuigiza kama James Bond
5 years ago
BuzzFeed30 Mar
James Charles Tweeted That He Had A "Fat Ass" And Angered A Drag Queen, A Football Legend, And Others