Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilionea IPTL ataka bosi wa TRA akamatwe

SeithNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

KAMPUNI ya Pan Africa Power Solutions (PAP) na ile ya Independent Power Tanzania (IPTL), imeitaka Bodi ya Rufaa ya Kodi nchini iamuru Kamishna Mkuu wa TRA, akamatwe na kupelekwa gerezani kwa kufuta hati za kuthibitisha ulipaji wa kodi wa kampuni hiyo katika manunuzi ya hisa za IPTL.

Hatua ya TRA kufuta hati hizo, ilitokana na udanganyifu uliofanywa na PAP kwa kuwasilisha nyaraka za kughushi za ununizi wa hisa, hali iliyoiwezesha kukwepa kodi ya Sh bilioni...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Bosi TRA amkomalia bilionea wa IPTL

SeithNa Eliya Mboya, Arusha

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade, amesema hatishwi na kauli ya mmliki wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL,  Herbinder Singh Seth ya kutaka akamatwe na kufikishwa mahakamani.

Kauli ya Kamishina Bade, imekuja siku chache baada ya Kampuni ya  Pan Africa Power Solutions (PAP) na  IPTL, kuitaka Bodi ya Rufaa ya Kodi nchini iamuru Kamishna Mkuu wa TRA, akamatwe na kupelekwa mahakamani kwa hatua yake ya kufuta hati za kuthibitisha ulipaji wa kodi...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI ATAKA MASOGANGE AKAMATWE

WAZIRI Kivuli wa Mambo ya Ndani, Vincent Nyerere ameibuka na kutoa kauli ya kutaka Video Queen Agnes Gerald ‘Masogange’ akamatwe na kuswekwa ndani akidai kitendo cha kuachiwa huru Afrika Kusini kwa kesi ya madawa ya kulevya si sahihi kwa Bongo. Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Vincent Nyerere. Akizungumza na Kipindi cha Dakika 45 kilichorushwa hewani Jumatatu usiku na Runinga ya ITV, Nyerere alisema baada ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji ataka Justin Bieber akamatwe

Jaji mmoja nchini Argentina ametoa agizo la kukamatwa kwa mwanamuziki Justin Bieber

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA DAVID HAINES ATAKA JIHAD JOHN AKAMATWE AKIWA HAI

Mauaji ya kundi la Islamic State
Dragana Haines mke wa David Haines,mamlaka zinapaswa kumsaka na kumkamata akiwa hai mtu aliyemuua mume wake kwa kumchinja baada ya kutekwa na kundi la wapiganaji wa dola ya kiislam Islamic State wakati akifanya kazi na shirika la misaada la Uingereza.Mtu aliyemchinja David Haines na wengine tayari amefahamika kuwa ni Mohamed Emwazi.

Bi.Dragana amesema tangu alipojua kuwa mmewe David amechinjwa alijipa matumaini moyoni mwake kuwa ipo siku muuaji huyo atafahamika...

 

10 years ago

Habarileo

Amri ya kumkamata bosi TRA yaondolewa

KATIBU wa Bodi ya Rufaa ya Kodi katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara, Respicius Mwijage ameamuru maombi ya kumkamata Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kumpeleka gerezani kwa kukiuka amri ya bodi hiyo, yaondolewe.

 

9 years ago

Mwananchi

Kasi ya Dk Magufuli yamsomba bosi TRA

Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade baada ya kubaini ‘madudu’ katika ofisi za mamlaka hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bilionea wa Afrika ataka kuinunua Arsenal

Mtu tajiri barani Afrika anataka kuinunua Arsenal.Aliko Dangote alijipatia mabilioni ya fedha kupitia biashara ya sukari na mafuta.

 

10 years ago

Mwananchi

TRA yazuiwa kufuta hati za malipo ya kodi ya IPTL

 Bodi ya Rufani za Kodi (TRAB), imetoa amri ya zuio la muda kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu kusudio lake la kufuta hati ya malipo ya kodi iliyotokana na uuzwaji wa hisa za Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL.

 

9 years ago

Mwananchi

DC aagiza mratibu wa maabara akamatwe

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara halmasharuri ya mji  anayedaiwa kujaribu kuiba vifaa vya kupimia malaria,  MRDT.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani