Kasi ya Dk Magufuli yamsomba bosi TRA
Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade baada ya kubaini ‘madudu’ katika ofisi za mamlaka hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Kasi ya Rais Magufuli yafuta likizo TRA
10 years ago
Habarileo09 Dec
Amri ya kumkamata bosi TRA yaondolewa
KATIBU wa Bodi ya Rufaa ya Kodi katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara, Respicius Mwijage ameamuru maombi ya kumkamata Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kumpeleka gerezani kwa kukiuka amri ya bodi hiyo, yaondolewe.
10 years ago
Mtanzania08 Dec
Bosi TRA amkomalia bilionea wa IPTL
Na Eliya Mboya, Arusha
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade, amesema hatishwi na kauli ya mmliki wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Herbinder Singh Seth ya kutaka akamatwe na kufikishwa mahakamani.
Kauli ya Kamishina Bade, imekuja siku chache baada ya Kampuni ya Pan Africa Power Solutions (PAP) na IPTL, kuitaka Bodi ya Rufaa ya Kodi nchini iamuru Kamishna Mkuu wa TRA, akamatwe na kupelekwa mahakamani kwa hatua yake ya kufuta hati za kuthibitisha ulipaji wa kodi...
10 years ago
Mtanzania05 Dec
Bilionea IPTL ataka bosi wa TRA akamatwe
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Pan Africa Power Solutions (PAP) na ile ya Independent Power Tanzania (IPTL), imeitaka Bodi ya Rufaa ya Kodi nchini iamuru Kamishna Mkuu wa TRA, akamatwe na kupelekwa gerezani kwa kufuta hati za kuthibitisha ulipaji wa kodi wa kampuni hiyo katika manunuzi ya hisa za IPTL.
Hatua ya TRA kufuta hati hizo, ilitokana na udanganyifu uliofanywa na PAP kwa kuwasilisha nyaraka za kughushi za ununizi wa hisa, hali iliyoiwezesha kukwepa kodi ya Sh bilioni...
9 years ago
Michuzi
TRA yajivunia kasi katika ukusanyaji kodi

Kwa mujibu wa Kamishna Mkuu wa TRA Rished Bade, mwezi Julai TRA ilikusanya kiasi cha shilingi bilioni 849,582.9 ambacho ni asilimia...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini
HABARILEO Makatibu wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioteuliwa na kuapishwa juzi wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya semina elekezi iliyoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue. Akizungumza kabla ya kuanza kwa mada zilizoandaliwa katika semina hiyo jana, Katibu Mkuu Kiongozi Sefue, alisema semina hiyo ni ya […]
The post Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini appeared first on...
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Dk Magufuli atimua bosi, avunja bodi Muhimbili
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Magufuli afunga kufuli TRA
*Amsimamisha kazi Kamishna Mkuu Bade, amteua Mpango kukaimu
*Waziri Mkuu Majaliwa asimamisha watano, awakabidhi mikononi mwa polisi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Rished Bade, kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya Sh bilioni 80 na kumteua Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Philip Mpango, kukaimu nafasi hiyo.
Sambamba na hatua hiyo, Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amewasimamisha...
9 years ago
Habarileo23 Nov
Kasi ya Magufuli yaanza kuitikiwa
KASI ya Rais John Magufuli imeendelea kutikisa idara na taasisi mbalimbali za serikali kutokana na mchakamchaka miongoni mwa watendaji na wasimamizi wanaoendelea kuasa watumishi walio chini yao, kutii falsafa ya ‘Hapa Kazi Tu’ vinginevyo watajiondoa kwenye mfumo.