Magufuli afunga kufuli TRA
*Amsimamisha kazi Kamishna Mkuu Bade, amteua Mpango kukaimu
*Waziri Mkuu Majaliwa asimamisha watano, awakabidhi mikononi mwa polisi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Rished Bade, kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya Sh bilioni 80 na kumteua Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Philip Mpango, kukaimu nafasi hiyo.
Sambamba na hatua hiyo, Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amewasimamisha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM BlogMAGUFULI AFUNGA KAZI MWANZA
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo amehitimisha kampeni zake jijini Mwanza ambapo maelfu ya wananchi walihudhuria. Katika mkutano huo wa kampeni za aina yake zimehudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete pamoja na mgombea mwenza wa urais Samia Suluhu Hassan Akizungumza katika mkutano huo Dk. Magufuli amesema katika...
9 years ago
VijimamboMAGUFULI AFUNGA KAZI SUMBAWANGA MJINI
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Sumbawanga mjini Ndugu Aeshi Hilaly . Kada wa CCM Mzee Chrisant...
9 years ago
GPLMAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE KWA MKOA WA KAGERA
9 years ago
MichuziMAGUFULI AFUNGA KAZI JIONI YA LEO MKOANI MTWARA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli,akiwahutubia wananchi wa mji wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa kampeni unaoendelea jioni hii katika...
9 years ago
GPLMAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE DAR, KESHO KUITEKA MWANZA
9 years ago
GPLMAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE JIJINI MWANZA KWA KISHINDO
9 years ago
MichuziMAGUFULI AFUNGA KAZI JIJINI ARUSHA,APOKELEWA KWA KISHINDO.
9 years ago
Mtanzania12 Nov
TRA: Rais Magufuli ametupa rungu
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema kuanzia sasa inaanza kutekeleza agizo la Rais Dk. John Magufuli la kuwakamata wafanyabiashara watakaokwepa kulipa kodi na kuwafikisha mbele ya vyombo vya dola.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema uamuzi wa kuwakamata wafanyabiashara ambao siku za nyuma walikuwa wakikingiwa kifua na watendaji wa Serikali, utaanza mara moja baada ya kupata baraka za Rais...
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Kasi ya Dk Magufuli yamsomba bosi TRA