Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kobane yatakiwa kulindwa dhidi IS

Mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Syria Staffan de Mistura amesema kuwa dunia inapaswa kuilinda Kabone dhidi ya IS.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya IS vyachacha mjini Kobane

Wapiganaji wa Kikurdi wanakabiliana vikali na wanamgambo wa Islamic State katika mji wa mpakani mwa Syria Kobane.

 

10 years ago

Michuzi

JAMII YATAKIWA KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UKOSEFU LISHE BORA-MNG’ONG’O

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.JAMII imeaswa kuunga mkono juhudi mbalimbali dhidi ya mapambano  ya ukosefu lishe bora  kutokana kudumaza watoto na kushindwa taifa kukosa nguvu kazi katika jitihada za kusukuma uchumi.


Hayo ameyasema Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Masuala ya Lishe pamoja na Haki za Watoto,Lediana Mng’ong’o wakati akizindua ripoti lishe Duniani iliyokutanisha nchi mbalimbali kwa ajili ya kuweza kupata nguvu katika kupamba na lishe iliyofanyika leo katika Hoteli ya Protea,...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akerwa mafisadi kulindwa

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea watu wanaotumia siasa kama kichaka cha kuficha dhambi zao kwa kufanya ufisadi, lakini wanapobainika, hujitetea kwa kusema wanafanyiwa hivyo kutokana na siasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobane yashambuliwa zaidi

Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.

 

10 years ago

Habarileo

Watafiti madini nchini kuendelea kulindwa

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles KitwangaSERIKALI imesema kuwa itaendelea kuwalinda wawekezaji wenye leseni wanaofanya utafiti wa madini wa hapa nchini ili waanze uzalishaji mara moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yarejea kwa kishindo Kobane

Ripoti kutoka Syria zasema kuwa wapiganaji wa Islamic State wamerejea katika mji wa Kobane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Kobane yamkera Obama

Rais Barack Obama amewaambia makamanda wa ngazi ya juu wa jeshini kwamba ameguswa na kile kinachoendelea Kobane

 

10 years ago

BBCSwahili

IS waachia maeneo muhimu Kobane

Wapiganaji wa Islamic State waachia baadhi ya maeneo muhimu katika mji wa Kobane nchini Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani