Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS yarejea kwa kishindo Kobane

Ripoti kutoka Syria zasema kuwa wapiganaji wa Islamic State wamerejea katika mji wa Kobane.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tamthilia ya Empire yarejea kwa kishindo, yavunja rekodi ya Fox ya miaka sita, ushoga wawa maradufu!

Tamthilia ya Empire imerejea kwenye msimu wake wa pili kwa kishindo Jumatano hii. Show hiyo imetazamwa na watu milioni 16.18 na kuifanya kuwa season mpya iliyoangaliwa zaidi kwenye kituo cha runinga cha Fox tangu tamthilia ya House mwaka 2009. Hiyo ni habari njema kwa Fox kwakuwa The Hollywood Reporter imeripoti kuwa tangazo la sekunde 30 […]

 

11 years ago

Michuzi

M-Pesa yarejea hewani,Vodacoma yawaomba radhi wateja wake kwa tatizo lililojitokeza

Wateja wa huduma ya M-pesa wamehakikishiwa usalama wa fedha zao wakati ambapo huduma hiyo ikiwa imerejea kwa asilimia mia moja baada ya kukosekana kufuatia tatizo la kiufundi lililojitokeza mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuwa huduma hiyo kwa sasa iko imara na kuchukua nafasi hiyo kuwoamba radhi wateja kwa usumbufu walioupata wakati huduma hiyo ilipokosekana.
“Napenda kuwaomba radhi wateja wetu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobane yashambuliwa zaidi

Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobane yatakiwa kulindwa dhidi IS

Mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Syria Staffan de Mistura amesema kuwa dunia inapaswa kuilinda Kabone dhidi ya IS.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Kobane yamkera Obama

Rais Barack Obama amewaambia makamanda wa ngazi ya juu wa jeshini kwamba ameguswa na kile kinachoendelea Kobane

 

10 years ago

BBCSwahili

IS waachia maeneo muhimu Kobane

Wapiganaji wa Islamic State waachia baadhi ya maeneo muhimu katika mji wa Kobane nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya IS vyachacha mjini Kobane

Wapiganaji wa Kikurdi wanakabiliana vikali na wanamgambo wa Islamic State katika mji wa mpakani mwa Syria Kobane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State watimuliwa kutoka Kobane

Wapiganaji wa Kikurdi Kaskazini mwa Syria wanaripotiwa kuwatimua wanamgambo wa kundi la Islamic State kutoka mji wa Kobane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 700 wakwama mjini Kobane, Syria

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Syria ameonya kuwa hadi watu 700 wengi wao wakiwa watu wazima wamekwama mjini Kobane.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani