IS yarejea kwa kishindo Kobane
Ripoti kutoka Syria zasema kuwa wapiganaji wa Islamic State wamerejea katika mji wa Kobane.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Sep
Tamthilia ya Empire yarejea kwa kishindo, yavunja rekodi ya Fox ya miaka sita, ushoga wawa maradufu!
Tamthilia ya Empire imerejea kwenye msimu wake wa pili kwa kishindo Jumatano hii. Show hiyo imetazamwa na watu milioni 16.18 na kuifanya kuwa season mpya iliyoangaliwa zaidi kwenye kituo cha runinga cha Fox tangu tamthilia ya House mwaka 2009. Hiyo ni habari njema kwa Fox kwakuwa The Hollywood Reporter imeripoti kuwa tangazo la sekunde 30 […]
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pIRF2oTwTNc/U6F71HfCVfI/AAAAAAAFrgM/75fFMB57Hq8/s72-c/unnamed+(17).jpg)
M-Pesa yarejea hewani,Vodacoma yawaomba radhi wateja wake kwa tatizo lililojitokeza
![](http://2.bp.blogspot.com/-pIRF2oTwTNc/U6F71HfCVfI/AAAAAAAFrgM/75fFMB57Hq8/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuwa huduma hiyo kwa sasa iko imara na kuchukua nafasi hiyo kuwoamba radhi wateja kwa usumbufu walioupata wakati huduma hiyo ilipokosekana.
“Napenda kuwaomba radhi wateja wetu...
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Kobane yashambuliwa zaidi
Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Kobane yatakiwa kulindwa dhidi IS
Mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Syria Staffan de Mistura amesema kuwa dunia inapaswa kuilinda Kabone dhidi ya IS.
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Mashambulizi ya Kobane yamkera Obama
Rais Barack Obama amewaambia makamanda wa ngazi ya juu wa jeshini kwamba ameguswa na kile kinachoendelea Kobane
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
IS waachia maeneo muhimu Kobane
Wapiganaji wa Islamic State waachia baadhi ya maeneo muhimu katika mji wa Kobane nchini Syria.
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Vita dhidi ya IS vyachacha mjini Kobane
Wapiganaji wa Kikurdi wanakabiliana vikali na wanamgambo wa Islamic State katika mji wa mpakani mwa Syria Kobane.
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Islamic State watimuliwa kutoka Kobane
Wapiganaji wa Kikurdi Kaskazini mwa Syria wanaripotiwa kuwatimua wanamgambo wa kundi la Islamic State kutoka mji wa Kobane.
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Raia 700 wakwama mjini Kobane, Syria
Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Syria ameonya kuwa hadi watu 700 wengi wao wakiwa watu wazima wamekwama mjini Kobane.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania