Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia 700 wakwama mjini Kobane, Syria

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Syria ameonya kuwa hadi watu 700 wengi wao wakiwa watu wazima wamekwama mjini Kobane.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya IS vyachacha mjini Kobane

Wapiganaji wa Kikurdi wanakabiliana vikali na wanamgambo wa Islamic State katika mji wa mpakani mwa Syria Kobane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wana Jihad wawauwa watu 700 Syria

Shirika la kibinaadamu nchin Syria limesema kuwa wapiganaji wa Islamic state wamewaua watu 700 wa kabila moja nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 20 wauawa Syria

Ripoti kutoka nchini Syria zinasema kuwa takriban watu 20 wameuawa kufuatia mashambulizi ya angani yaliyoendeshwa na serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya raia wa Syria si ya kuridhisha

watu milioni kumi na mbili nchini Syria watahitaji misaada wakati wa majira ya baridi.

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MABASI, WASAFIRI MJINI BUKOBA WAKWAMA

Mabasi katika kituo cha mabasi mjini Bukoba, Kagera yakiwa yameegeshwa kufuatia mgomo wa mabasi nchi nzima uliotekelezwa na madereva wa mabasi hayo. Bajaji zikibeba abiria. Abiria wakitahamaki baada ya kuona mabasi hayatembei hivyo kukoswa usafiri wa kuwafikisha sehemu mbalimbali wanakoelekea.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Syria wapewa masharti Lebanon

Raia nchini Syria walazimika kuwa na vielelezo ili kuweza kuishi nchini Lebanon

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA MABASI,,,,ABIRIA MJINI MOSHI WAKWAMA STENDI, WAIGEUZA UKUMBI WA SINEMA...

Hivi ndivyo kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi kilivyoonekana.Baadhi ya abiria wakiwa wamekaa kitako katika maegesho ya magari huku wakitizama Big Screen iliyopo jirani na kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi.Baadhi ya abiria wakitizama kwa mbali screen hiyo.Screen kubwa kwa ajili ya matangazo ya biashara iliyoko jirani na kituo kikuu cha mabasi ikionesha picha ya mashindano ya magari ambayo ilikuwa burudani kwa abiria baada ya kukosa usafiri kutokana na mgomo wa madereva uliotikisa nchi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria : Harakati za kijeshi za Uturuki mjini Idlib 'zinasubiri muda tu'

Kiongozi wa Uturuki ameionya Syria juu ya mashambulizi makubwa dhidi ya waasi katika jimbo la kaskazini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani