Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS waachia maeneo muhimu Kobane

Wapiganaji wa Islamic State waachia baadhi ya maeneo muhimu katika mji wa Kobane nchini Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TAHARUKI MLIMANI CITY, MWARABU ADAKWA AKIPIGA PICHA MAENEO MUHIMU

Njemba huyo akionekana kurandaranda kwenye Maduka ya Mlimani City. Boniphace Ngumije na Brighton Masalu Taharuki! Katika hali ya kushtua, njemba mmoja mtata mwenye asili ya Kiarabu amezua tafrani kwenye Maduka ya Mlimani City yaliyopo Barabara ya Sam Nujoma, jijini Dar baada ya kudakwa akitalii na kupiga picha za mnato kwenye maeneo maalum bila kujulikana lengo lake. ...Akikatiza kwenye vikordo Kwa mujibu wa shuhuda wetu,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobane yashambuliwa zaidi

Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobane yatakiwa kulindwa dhidi IS

Mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Syria Staffan de Mistura amesema kuwa dunia inapaswa kuilinda Kabone dhidi ya IS.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yarejea kwa kishindo Kobane

Ripoti kutoka Syria zasema kuwa wapiganaji wa Islamic State wamerejea katika mji wa Kobane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Kobane yamkera Obama

Rais Barack Obama amewaambia makamanda wa ngazi ya juu wa jeshini kwamba ameguswa na kile kinachoendelea Kobane

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha  hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.

“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
 Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..

Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.

Mzee wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya IS vyachacha mjini Kobane

Wapiganaji wa Kikurdi wanakabiliana vikali na wanamgambo wa Islamic State katika mji wa mpakani mwa Syria Kobane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State watimuliwa kutoka Kobane

Wapiganaji wa Kikurdi Kaskazini mwa Syria wanaripotiwa kuwatimua wanamgambo wa kundi la Islamic State kutoka mji wa Kobane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 700 wakwama mjini Kobane, Syria

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Syria ameonya kuwa hadi watu 700 wengi wao wakiwa watu wazima wamekwama mjini Kobane.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani