Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi ya Kobane yamkera Obama

Rais Barack Obama amewaambia makamanda wa ngazi ya juu wa jeshini kwamba ameguswa na kile kinachoendelea Kobane

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Obama atetea mashambulizi dhidi ya IS Iraq

Rais Obama ametetea mashambulizi dhidi ya wanapiganaji wa kiisilamu nchini Iraq akisema yanapania kulinda maslahi ya wamerekani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mipango ya Yanga yamkera Phiri

Ujio wa Yanga katika kisiwa cha Unguja  umeonekana kutomfurahisha kocha wa Simba,  Patrick Phiri akisema hatahudhuria mechi yao ya  kirafiki itakayochezwa kesho kwenye Uwanja wa  Amaani. Phiri amekasirishwa na kitendo cha Yanga kucheza  mechi yao dhidi ya mabingwa wa Zanzibar, KMKM  siku ambayo Simba pia ina mechi kwenye uwanja huo  huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Adhabu ya Costa yamkera Mourinho

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amekerwa na uamuzi wa Chama cha Soka England (FA) kumfungia mechi tatu mshambuliaji wake, Diego Costa akisema utaiumiza klabu yake.

 

11 years ago

Habarileo

Rushwa ya ng’ombe, mbuzi yamkera JK

RAIS Jakaya Kikwete amewaonya wenyeviti na maofisa watendaji wa vijiji kuacha mara moja tabia ya kupokea rushwa ya mbuzi na ng’ombe kutoka kwa wafugaji wanaohamia kwenye maeneo yao bila kuzingatia taratibu zilizowekwa na vijiji.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kobane yashambuliwa zaidi

Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Migogoro michezoni yamkera Rais Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete amesema, sababu hasa ya soka la Tanzania kushindwa kupiga hatua ni kukosekana viongozi wazuri wakiendekeza migogoro kuliko kuwekeza katika programu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kobane yatakiwa kulindwa dhidi IS

Mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Syria Staffan de Mistura amesema kuwa dunia inapaswa kuilinda Kabone dhidi ya IS.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yarejea kwa kishindo Kobane

Ripoti kutoka Syria zasema kuwa wapiganaji wa Islamic State wamerejea katika mji wa Kobane.

 

11 years ago

BBCSwahili

IS waachia maeneo muhimu Kobane

Wapiganaji wa Islamic State waachia baadhi ya maeneo muhimu katika mji wa Kobane nchini Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani