Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Migogoro michezoni yamkera Rais Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete amesema, sababu hasa ya soka la Tanzania kushindwa kupiga hatua ni kukosekana viongozi wazuri wakiendekeza migogoro kuliko kuwekeza katika programu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

News Alert!!:Rais Jakaya Kikwete amuumbua Afisa SUMATRA! awalipua kwa kuchochea migogoro nchini

kikweteRais Dk. Jakaya Kikwete.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amemuumbua mtendaji wa SUMATRA nchini kwa kile alichokieleza kuwa anakibagua chama kipya cha madereva hali ambayo inasababisha madereva hao kukosa mikataba yao na kusabisha mifarakano baina ya madereva na waajili.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini (SUMATRA), Dk Oscar Kikoyo alijikuta katika wakati mgumu pale Rais JK...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete achoshwa na migogoro Morogoro

RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuwa Serikali yake italipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo sugu la ugomvi kati ya wakulima na wafugaji katika Mkoa wa Morogoro ambalo kimsingi linasababishwa na wachungaji kuingiza mifugo yao katika mashamba ya wakulima.

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Kobane yamkera Obama

Rais Barack Obama amewaambia makamanda wa ngazi ya juu wa jeshini kwamba ameguswa na kile kinachoendelea Kobane

 

10 years ago

Mwananchi

Mipango ya Yanga yamkera Phiri

Ujio wa Yanga katika kisiwa cha Unguja  umeonekana kutomfurahisha kocha wa Simba,  Patrick Phiri akisema hatahudhuria mechi yao ya  kirafiki itakayochezwa kesho kwenye Uwanja wa  Amaani. Phiri amekasirishwa na kitendo cha Yanga kucheza  mechi yao dhidi ya mabingwa wa Zanzibar, KMKM  siku ambayo Simba pia ina mechi kwenye uwanja huo  huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Adhabu ya Costa yamkera Mourinho

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amekerwa na uamuzi wa Chama cha Soka England (FA) kumfungia mechi tatu mshambuliaji wake, Diego Costa akisema utaiumiza klabu yake.

 

11 years ago

Habarileo

Rushwa ya ng’ombe, mbuzi yamkera JK

RAIS Jakaya Kikwete amewaonya wenyeviti na maofisa watendaji wa vijiji kuacha mara moja tabia ya kupokea rushwa ya mbuzi na ng’ombe kutoka kwa wafugaji wanaohamia kwenye maeneo yao bila kuzingatia taratibu zilizowekwa na vijiji.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini leo ikulu jijini Dar es Salaam

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kodi ya faru wa msaada yamkera Malkia Elizabeth

MALKIA Elizabeth wa Uingereza na marafiki wa uhifadhi wametishia kusitisha misaada ya uhifadhi wa faru kwenye Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kutokana na Serikali ya Tanzania kutoza kodi faru waliotolewa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani