Tamthilia ya Empire yarejea kwa kishindo, yavunja rekodi ya Fox ya miaka sita, ushoga wawa maradufu!
Tamthilia ya Empire imerejea kwenye msimu wake wa pili kwa kishindo Jumatano hii. Show hiyo imetazamwa na watu milioni 16.18 na kuifanya kuwa season mpya iliyoangaliwa zaidi kwenye kituo cha runinga cha Fox tangu tamthilia ya House mwaka 2009. Hiyo ni habari njema kwa Fox kwakuwa The Hollywood Reporter imeripoti kuwa tangazo la sekunde 30 […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Dec
Mastaa wa tamthilia ya Bones waishtaki Fox
![1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull-300x194.jpg)
Mastaa wa tamthilia ya ‘Bones’, Emily Deschanel na David Boreanaz wameungana na mtayarishaji mkuu, Barry Josephson kuishtaki tamthilia ya Fox kwa faida ambayo hawakulipwa.
Waigizaji hao waliwasilisha malalamiko yao Jumatatu kwenye mahakama ya jijini Los Angeles pamoja na mwandishi na mtayarishaji mkuu, Kathy Reichs, wakidai kuwa kampuni ya 20th Century Fox iliwadhulumu mamilioni ya dola ya faida kwa kuficha nyaraka na kudanganya mahesabu.
Mashtaka hayo yanadai kuwa ukaguzi wa mahesabu...
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
IS yarejea kwa kishindo Kobane
9 years ago
Bongo522 Sep
Msimu wa pili wa tamthilia ya Empire kuanza kesho
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-24m2mVxC7TY/VYLYZbSgWxI/AAAAAAAHhC8/_lj9n3S_Nr0/s72-c/MMGL1871.jpg)
KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, 33,780 WAMDHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-24m2mVxC7TY/VYLYZbSgWxI/AAAAAAAHhC8/_lj9n3S_Nr0/s640/MMGL1871.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ToTrfODA7c/VYLYANS7VeI/AAAAAAAHhCc/wHLVR2CaNuM/s640/MMGL1856.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHkMinI3eBE/VYLXX_1IGVI/AAAAAAAHhBg/s0EvMCpVg40/s1600/MMGL1499.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pHkMinI3eBE/VYLXX_1IGVI/AAAAAAAHhBg/s0EvMCpVg40/s72-c/MMGL1499.jpg)
KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, WANACCM 33,780 WAMDHAMINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHkMinI3eBE/VYLXX_1IGVI/AAAAAAAHhBg/s0EvMCpVg40/s1600/MMGL1499.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-24m2mVxC7TY/VYLYZbSgWxI/AAAAAAAHhC8/_lj9n3S_Nr0/s640/MMGL1871.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1PVH3aXbsv4/VYLXXu7tY3I/AAAAAAAHhBo/3d8q5uUPqG8/s640/MMGL1741.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mKWAksi94YQ/VYLXZo9z6pI/AAAAAAAHhB4/GBWFGNQzkls/s640/MMGL1754.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v-9Xy-u8q7g/VYLXaMKkofI/AAAAAAAHhCA/l9rG4EH3PLE/s640/MMGL1812.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ToTrfODA7c/VYLYANS7VeI/AAAAAAAHhCc/wHLVR2CaNuM/s640/MMGL1856.jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 18, 2015, wakati...
9 years ago
Bongo505 Oct
Idadi ya watazamaji wa Tamthilia ya Empire yapungua kwenye episode ya pili, 50 Cent ampiga dongo Cookie
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
JAPAN YAVUNJA REKODI KWA KUWA NA TRENI YENYE MWENDO KASI ZAIDI DUNIANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Italia yavunja tena rekodi, watu 793 wafa siku moja kwa corona, Ulaya yazidi kulemewa na vifo na maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s640/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Shirika la ha habari la Tasnim limelinukuu shirika la habari la AFP likitangaza habari hiyo na kuongeza kuwa, Wakala wa Kuwalinda Raia wa Italia ulisema jana kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na kirusi cha corona nchini humo ilikuwa ni 793...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kilimanjaro yavunja rekodi ya 1995