Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mastaa wa tamthilia ya Bones waishtaki Fox

1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull

Mastaa wa tamthilia ya ‘Bones’, Emily Deschanel na David Boreanaz wameungana na mtayarishaji mkuu, Barry Josephson kuishtaki tamthilia ya Fox kwa faida ambayo hawakulipwa.

1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull

Waigizaji hao waliwasilisha malalamiko yao Jumatatu kwenye mahakama ya jijini Los Angeles pamoja na mwandishi na mtayarishaji mkuu, Kathy Reichs, wakidai kuwa kampuni ya 20th Century Fox iliwadhulumu mamilioni ya dola ya faida kwa kuficha nyaraka na kudanganya mahesabu.

Mashtaka hayo yanadai kuwa ukaguzi wa mahesabu...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Tamthilia ya Empire yarejea kwa kishindo, yavunja rekodi ya Fox ya miaka sita, ushoga wawa maradufu!

Tamthilia ya Empire imerejea kwenye msimu wake wa pili kwa kishindo Jumatano hii. Show hiyo imetazamwa na watu milioni 16.18 na kuifanya kuwa season mpya iliyoangaliwa zaidi kwenye kituo cha runinga cha Fox tangu tamthilia ya House mwaka 2009. Hiyo ni habari njema kwa Fox kwakuwa The Hollywood Reporter imeripoti kuwa tangazo la sekunde 30 […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa Twitter waishtaki Marekani

Mtandao wa Twitter umeishtaki serikali ya Marekani kutokana na sheria zake za ujasusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC

Wafanyabiashara ya Vinyago mjini Kinshasa, wameishtaki serikali kwa kuchoma maeneo yao ya uchuuzi na kusababisha hasara.

 

11 years ago

Mwananchi

Waishtaki Sumatra kwa Dk Mwakyembe

>Chama cha Kutetea Abiria (Chakua) kimemwomba Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuingilia kati suala la kuanza kwa matumizi ya mfumo mpya wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao kwa mabasi yaendayo mikoani, kwa madai kuwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imekuwa chanzo cha ucheleweshwaji wa kuanza kutumika kwa mfumo huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi waishtaki Serikali kwa Magufuli

Wananchi wa Tarime mkoani hapa wamempokea mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli kwa mabango yenye ujumbe wa aina mbalimbali, wakiilalamikiwa Serikali kwa kushindwa kutatua kero ambazo zimekuwa zikiwakabili kwa muda mrefu.

 

10 years ago

GPL

UMOJA WA ULAYA WAISHTAKI KAMPUNI YA GOOGLE

Mkurugenzi Mkuu na Mwanzilishi wa Kampuni yaGoogle Inc. Lawrence "Larry" Page. Muungano wa nchi za Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya inayojihusisha na masuala ya kimtandao ya Google kwa matumizi mabaya ya soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano uliyofanya na taasisi za Muungano huo. Kamishna wa ushindani katika muungano huo wa Ulaya Margrethe Westager ameeleza wasiwasi wake kutokana na ripoti ya uchunguzi huo kwamba, kampuni...

 

10 years ago

Bongo5

Fox kuja na series ya ‘Think Like A Man’

Filamu ya komedi ya ‘Think Like A Man’ inatarajiwa kutengenezwa kama series ya kwenye runinga ikiwa na watu wale wale kwenye upande wa ubunifu, mtandao wa deadline.com umeripoti. Kituo cha Fox kinaitengeneza Think Like A Man itakayotayarishwa na mchekeshaji, Steve Harvey, ambaye vitabu vyake vilitumika kutengeneza filamu hizo. Mtayarishaji wa filamu hizo Will Packer naye […]

 

11 years ago

Habarileo

Tumbi waishtaki Wizara ya Afya kwa Kinana

Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk Peter Dattani WIZARA ya Afya i m e s h i n d w a kutekeleza ahadi ya kupeleka vifaa kwa ajili ya chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Tumbi iliyopo wilayani Kibaha.

 

9 years ago

Bongo5

50 Cent kuandaa series ya comedy kwaajili ya Fox

2015 Winter TCA - Portraits

Baada ya kufanya vizuri kwenye Power, 50 Cent ameendelea kutanua wigo wake kwenye TV kwa kuandaa series mpya ya komedi.

2015 Winter TCA - Portraits

Series hiyo itakayoonekana kupitia kituo cha Fox inaitwa ‘My Friend 50’ ambayo rapper huyo atakuwa akionekana mara chache pia.

Series hiyo inafuata maisha ya Amanda Kramer anayeamini kuwa akiunga na kampani ya 50 Cent inaweza kuwa jibu la matatizo yake.

Hatua hiyo imekuja miezi kadhaa baada ya 50 ambaye ni mtayarishaji mkuu wa tamthilia ya Power kusaini mkataba wa miaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani