Mastaa wa tamthilia ya Bones waishtaki Fox
Mastaa wa tamthilia ya ‘Bones’, Emily Deschanel na David Boreanaz wameungana na mtayarishaji mkuu, Barry Josephson kuishtaki tamthilia ya Fox kwa faida ambayo hawakulipwa.
Waigizaji hao waliwasilisha malalamiko yao Jumatatu kwenye mahakama ya jijini Los Angeles pamoja na mwandishi na mtayarishaji mkuu, Kathy Reichs, wakidai kuwa kampuni ya 20th Century Fox iliwadhulumu mamilioni ya dola ya faida kwa kuficha nyaraka na kudanganya mahesabu.
Mashtaka hayo yanadai kuwa ukaguzi wa mahesabu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo525 Sep
Tamthilia ya Empire yarejea kwa kishindo, yavunja rekodi ya Fox ya miaka sita, ushoga wawa maradufu!
11 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mtandao wa Twitter waishtaki Marekani
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Waishtaki Sumatra kwa Dk Mwakyembe
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Wananchi waishtaki Serikali kwa Magufuli
10 years ago
GPL
UMOJA WA ULAYA WAISHTAKI KAMPUNI YA GOOGLE
10 years ago
Bongo521 Oct
Fox kuja na series ya ‘Think Like A Man’
11 years ago
Habarileo21 Sep
Tumbi waishtaki Wizara ya Afya kwa Kinana
WIZARA ya Afya i m e s h i n d w a kutekeleza ahadi ya kupeleka vifaa kwa ajili ya chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Tumbi iliyopo wilayani Kibaha.
9 years ago
Bongo502 Dec
50 Cent kuandaa series ya comedy kwaajili ya Fox

Baada ya kufanya vizuri kwenye Power, 50 Cent ameendelea kutanua wigo wake kwenye TV kwa kuandaa series mpya ya komedi.
Series hiyo itakayoonekana kupitia kituo cha Fox inaitwa ‘My Friend 50’ ambayo rapper huyo atakuwa akionekana mara chache pia.
Series hiyo inafuata maisha ya Amanda Kramer anayeamini kuwa akiunga na kampani ya 50 Cent inaweza kuwa jibu la matatizo yake.
Hatua hiyo imekuja miezi kadhaa baada ya 50 ambaye ni mtayarishaji mkuu wa tamthilia ya Power kusaini mkataba wa miaka...