Tumbi waishtaki Wizara ya Afya kwa Kinana
WIZARA ya Afya i m e s h i n d w a kutekeleza ahadi ya kupeleka vifaa kwa ajili ya chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Tumbi iliyopo wilayani Kibaha.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
KINANA ASHTUSHWA NA MAKUSUDI YA WIZARA YA AFYA KUHUSIANA NA KITUO CHA AFYA CHA INYONGA,WILAYA YA MLELE-KATAVI


11 years ago
Michuzi.jpg)
WIZARA YA AFYA YAKABIDHI MABASI 6 KWA VYUO VYA AFYA NCHINI
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Waishtaki Sumatra kwa Dk Mwakyembe
>Chama cha Kutetea Abiria (Chakua) kimemwomba Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuingilia kati suala la kuanza kwa matumizi ya mfumo mpya wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao kwa mabasi yaendayo mikoani, kwa madai kuwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imekuwa chanzo cha ucheleweshwaji wa kuanza kutumika kwa mfumo huo.
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Mkurugenzi wa Wizara ya Afya kortini kwa tuhuma za rushwa
Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Elias Chinamo amefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu akikabiliwa na mashtaka 14 ya kuomba na kupokea rushwa.
11 years ago
GPLWIZARA YA AFYA YATOA SEMINA KWA WANAHABARI DAR
Mtaalamu wa ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ,Dk. Vida Makundi Mmbaga, akijibu maswali ya wanahabari.
Waandishi wakifuatilia kwa umakini.…
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Wananchi waishtaki Serikali kwa Magufuli
Wananchi wa Tarime mkoani hapa wamempokea mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli kwa mabango yenye ujumbe wa aina mbalimbali, wakiilalamikiwa Serikali kwa kushindwa kutatua kero ambazo zimekuwa zikiwakabili kwa muda mrefu.
11 years ago
GPLGLOBAL FUND ROUND 9 YATOA MABASI 6 KWA WIZARA YA AFYA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Charles Pallangyo akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). …akipanda ndani ya basi.…
5 years ago
MichuziTICTS YAKABIDHI VIFAA VYA THAMANI YA MILIONI 182/- KWA WIZARA YA AFYA, MGANGA MKUU WA SERIKLI ATOA SHUKRANI KWA SEKTA BINAFSI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania