Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waishtaki Sumatra kwa Dk Mwakyembe

>Chama cha Kutetea Abiria (Chakua) kimemwomba Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuingilia kati suala la kuanza kwa matumizi ya mfumo mpya wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao kwa mabasi yaendayo mikoani, kwa madai kuwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imekuwa chanzo cha ucheleweshwaji wa kuanza kutumika kwa mfumo huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dk. Mwakyembe fumua Sumatra’

CHAMA cha Kutetea Abiria Tanzania (Chakua), kimemuomba Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, kuwawajibisha watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), kutokana na kushindwa kuwatetea...

 

9 years ago

Mwananchi

Wananchi waishtaki Serikali kwa Magufuli

Wananchi wa Tarime mkoani hapa wamempokea mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli kwa mabango yenye ujumbe wa aina mbalimbali, wakiilalamikiwa Serikali kwa kushindwa kutatua kero ambazo zimekuwa zikiwakabili kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Habarileo

Tumbi waishtaki Wizara ya Afya kwa Kinana

Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk Peter Dattani WIZARA ya Afya i m e s h i n d w a kutekeleza ahadi ya kupeleka vifaa kwa ajili ya chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Tumbi iliyopo wilayani Kibaha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa Twitter waishtaki Marekani

Mtandao wa Twitter umeishtaki serikali ya Marekani kutokana na sheria zake za ujasusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC

Wafanyabiashara ya Vinyago mjini Kinshasa, wameishtaki serikali kwa kuchoma maeneo yao ya uchuuzi na kusababisha hasara.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja

Mbili (1)

Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.

Moja 1

Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege  ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa  Bunge ya Miundombinu,  Peter Serukamba.

nne

Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...

 

9 years ago

Bongo5

Mastaa wa tamthilia ya Bones waishtaki Fox

1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull

Mastaa wa tamthilia ya ‘Bones’, Emily Deschanel na David Boreanaz wameungana na mtayarishaji mkuu, Barry Josephson kuishtaki tamthilia ya Fox kwa faida ambayo hawakulipwa.

1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull

Waigizaji hao waliwasilisha malalamiko yao Jumatatu kwenye mahakama ya jijini Los Angeles pamoja na mwandishi na mtayarishaji mkuu, Kathy Reichs, wakidai kuwa kampuni ya 20th Century Fox iliwadhulumu mamilioni ya dola ya faida kwa kuficha nyaraka na kudanganya mahesabu.

Mashtaka hayo yanadai kuwa ukaguzi wa mahesabu...

 

10 years ago

GPL

UMOJA WA ULAYA WAISHTAKI KAMPUNI YA GOOGLE

Mkurugenzi Mkuu na Mwanzilishi wa Kampuni yaGoogle Inc. Lawrence "Larry" Page. Muungano wa nchi za Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya inayojihusisha na masuala ya kimtandao ya Google kwa matumizi mabaya ya soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano uliyofanya na taasisi za Muungano huo. Kamishna wa ushindani katika muungano huo wa Ulaya Margrethe Westager ameeleza wasiwasi wake kutokana na ripoti ya uchunguzi huo kwamba, kampuni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu hachaguliwi kwa kura za maoni wala kwa mitandao ya kijamii – Mwakyembe

Harrison-Mwakyembe1-620x308

Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela,  Dkt. Harrison Mwakyembe.

Na Lilian Lundo, MAELEZO-DODOMA

Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela,  Dkt. Harrison Mwakyembe amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania  atatokana  na uteuzi utakaoidhinishwa na  Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.

Dkt. Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi,  Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani