Waishtaki Sumatra kwa Dk Mwakyembe
>Chama cha Kutetea Abiria (Chakua) kimemwomba Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuingilia kati suala la kuanza kwa matumizi ya mfumo mpya wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao kwa mabasi yaendayo mikoani, kwa madai kuwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imekuwa chanzo cha ucheleweshwaji wa kuanza kutumika kwa mfumo huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
‘Dk. Mwakyembe fumua Sumatra’
CHAMA cha Kutetea Abiria Tanzania (Chakua), kimemuomba Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, kuwawajibisha watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), kutokana na kushindwa kuwatetea...
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Wananchi waishtaki Serikali kwa Magufuli
10 years ago
Habarileo21 Sep
Tumbi waishtaki Wizara ya Afya kwa Kinana
WIZARA ya Afya i m e s h i n d w a kutekeleza ahadi ya kupeleka vifaa kwa ajili ya chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Tumbi iliyopo wilayani Kibaha.
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mtandao wa Twitter waishtaki Marekani
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja
Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.
Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...
9 years ago
Bongo501 Dec
Mastaa wa tamthilia ya Bones waishtaki Fox
![1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull-300x194.jpg)
Mastaa wa tamthilia ya ‘Bones’, Emily Deschanel na David Boreanaz wameungana na mtayarishaji mkuu, Barry Josephson kuishtaki tamthilia ya Fox kwa faida ambayo hawakulipwa.
Waigizaji hao waliwasilisha malalamiko yao Jumatatu kwenye mahakama ya jijini Los Angeles pamoja na mwandishi na mtayarishaji mkuu, Kathy Reichs, wakidai kuwa kampuni ya 20th Century Fox iliwadhulumu mamilioni ya dola ya faida kwa kuficha nyaraka na kudanganya mahesabu.
Mashtaka hayo yanadai kuwa ukaguzi wa mahesabu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-m1zlRFjg29nkKg0plPb-U2efKCDocqmDR3NnQQ39yS7wwWc2cKHZ-djKVVT*aGeNjZUuokX8AbVXyU91RLBtg/ScreenShot20121211at13.42.57.jpg?width=650)
UMOJA WA ULAYA WAISHTAKI KAMPUNI YA GOOGLE
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Waziri Mkuu hachaguliwi kwa kura za maoni wala kwa mitandao ya kijamii – Mwakyembe
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Na Lilian Lundo, MAELEZO-DODOMA
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania atatokana na uteuzi utakaoidhinishwa na Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.
Dkt. Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye...