Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Dk. Mwakyembe fumua Sumatra’

CHAMA cha Kutetea Abiria Tanzania (Chakua), kimemuomba Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, kuwawajibisha watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), kutokana na kushindwa kuwatetea...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waishtaki Sumatra kwa Dk Mwakyembe

>Chama cha Kutetea Abiria (Chakua) kimemwomba Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuingilia kati suala la kuanza kwa matumizi ya mfumo mpya wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao kwa mabasi yaendayo mikoani, kwa madai kuwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imekuwa chanzo cha ucheleweshwaji wa kuanza kutumika kwa mfumo huo.

 

10 years ago

Daily News

Police, Sumatra must get their act right


Police, Sumatra must get their act right
Daily News
A MEETING of transport stakeholders held over the weekend in Dodoma gave an insight into how, if we pull together, carnage on the country's roads can be curtailed. The meeting brought together transport operators (TABOA), regulators (SUMATRA), law ...

 

10 years ago

Mwananchi

Sumatra yaizuia Mv Victoria

Watumiaji wanaotegemea meli ya Mv Victoria juzi walipata adha ya usafiri baada ya kusitishwa kwa safari ya kuelekea Mwanza hatua iliyochukuliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra)kwa madai kwamba ilitoroshwa bila kukaguliwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Ruvuma yalalamikiwa

BAADHI ya Wasafirishaji wa abiria mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, wameilalamikia Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), mkoani hapa kwa kufanya upendeleo wa kuibeba kampuni...

 

10 years ago

TheCitizen

Sumatra criticised over tariffs

The Surface and Marine Transport Regulatory Authority (Sumatra) has been told to be transparent in dealing with tariff proposals so that stakeholders can comment on them.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Mbeya yapuuzwa

ONYO la Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji hilo kupiga marufuku mabasi  yabebayo abiria kwenda sehemu mbalimbali kuacha kupakia...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

SUMATRA yalia na wanasiasa


NA MOHAMMED ISSA
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imesema tatizo la usafiri wa pikipiki nchini linachangiwa na utashi wa kisiasa.
Pia imesema ajali za pikipiki zimekuwa tishio na kwamba zimekuwa zikiongezeka siku hadi siku.
Mbali na hilo, imesema asilimia 99 ya watoa huduma ya usafiri wa pikipiki, hawana leseni na kwamba, hawana elimu ya usafiri.
Imesema kutokana na hali hiyo, hivi karibuni itaanza kutoa elimu nchi mzima na haitatoa leseni ya usafiri wa pikipiki kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UDA yaitesa Sumatra

MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesema Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kipindi hiki linawapa wakati mgumu kutokana na kushindwa kutii taratibu zilizowekwa barabarani. Akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Tabora kuelimisha abiria

“ABIRIA wengi nchini hasa mkoani Tabora, hawajui haki zao wanapokuwa safarini.” Hayo ni maneno ya Ofisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) Tabora,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani