Sumatra yaizuia Mv Victoria
Watumiaji wanaotegemea meli ya Mv Victoria juzi walipata adha ya usafiri baada ya kusitishwa kwa safari ya kuelekea Mwanza hatua iliyochukuliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra)kwa madai kwamba ilitoroshwa bila kukaguliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen18 Oct
LAKE ZONE: Sumatra: MV Victoria safe for operation
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Korti Yaizuia Chadema kumjadili Zitto
10 years ago
Daily News15 Sep
Police, Sumatra must get their act right
Daily News
A MEETING of transport stakeholders held over the weekend in Dodoma gave an insight into how, if we pull together, carnage on the country's roads can be curtailed. The meeting brought together transport operators (TABOA), regulators (SUMATRA), law ...
10 years ago
TheCitizen09 Jan
Sumatra criticised over tariffs
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Sumatra Ruvuma yalalamikiwa
BAADHI ya Wasafirishaji wa abiria mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, wameilalamikia Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), mkoani hapa kwa kufanya upendeleo wa kuibeba kampuni...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jul
UDA yaitesa Sumatra
MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesema Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kipindi hiki linawapa wakati mgumu kutokana na kushindwa kutii taratibu zilizowekwa barabarani. Akizungumza na...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-Nyv332ZXMGQ/U84BySwxNiI/AAAAAAAABaA/qbORnPl0Dug/s72-c/sumatra.jpg)
SUMATRA yalia na wanasiasa
NA MOHAMMED ISSA
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imesema tatizo la usafiri wa pikipiki nchini linachangiwa na utashi wa kisiasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nyv332ZXMGQ/U84BySwxNiI/AAAAAAAABaA/qbORnPl0Dug/s1600/sumatra.jpg)
Mbali na hilo, imesema asilimia 99 ya watoa huduma ya usafiri wa pikipiki, hawana leseni na kwamba, hawana elimu ya usafiri.
Imesema kutokana na hali hiyo, hivi karibuni itaanza kutoa elimu nchi mzima na haitatoa leseni ya usafiri wa pikipiki kwa...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
‘Dk. Mwakyembe fumua Sumatra’
CHAMA cha Kutetea Abiria Tanzania (Chakua), kimemuomba Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, kuwawajibisha watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), kutokana na kushindwa kuwatetea...
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Sumatra Mbeya yapuuzwa
ONYO la Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji hilo kupiga marufuku mabasi yabebayo abiria kwenda sehemu mbalimbali kuacha kupakia...