Sumatra Mbeya yapuuzwa
ONYO la Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji hilo kupiga marufuku mabasi yabebayo abiria kwenda sehemu mbalimbali kuacha kupakia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV17 Dec
Upandishaji Nauli Kipindi Cha Sikukuu SUMATRA Mbeya yatoa tahadhari
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu nchni SUMATRA Mkoa wa Mbeya imewatahadharisha wamiliki wa vyombo vya usafiri kutokupandisha nauli katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwisho mwa mwaka.
Afisa Mfawidhi wa SUMATRA mkoani Mbeya Denis Daudi amesema mamlaka hiyo haitasita kuwachukulia hatua watoa huduma wakiwemo wamiliki, wafanyakazi na wapiga debe wa vyombo vya usafiri watakaokiuka agizo hilo.
Akizungumza na Star tv, Denis amesema yamejengeka mazoeza ya kila...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Hoja kuhusu Pepopunda Kenya yapuuzwa
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Sumatra Ruvuma yalalamikiwa
BAADHI ya Wasafirishaji wa abiria mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, wameilalamikia Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), mkoani hapa kwa kufanya upendeleo wa kuibeba kampuni...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-Nyv332ZXMGQ/U84BySwxNiI/AAAAAAAABaA/qbORnPl0Dug/s72-c/sumatra.jpg)
SUMATRA yalia na wanasiasa
NA MOHAMMED ISSA
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imesema tatizo la usafiri wa pikipiki nchini linachangiwa na utashi wa kisiasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nyv332ZXMGQ/U84BySwxNiI/AAAAAAAABaA/qbORnPl0Dug/s1600/sumatra.jpg)
Mbali na hilo, imesema asilimia 99 ya watoa huduma ya usafiri wa pikipiki, hawana leseni na kwamba, hawana elimu ya usafiri.
Imesema kutokana na hali hiyo, hivi karibuni itaanza kutoa elimu nchi mzima na haitatoa leseni ya usafiri wa pikipiki kwa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jul
UDA yaitesa Sumatra
MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesema Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kipindi hiki linawapa wakati mgumu kutokana na kushindwa kutii taratibu zilizowekwa barabarani. Akizungumza na...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Sumatra yaizuia Mv Victoria
10 years ago
TheCitizen09 Jan
Sumatra criticised over tariffs
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
‘Dk. Mwakyembe fumua Sumatra’
CHAMA cha Kutetea Abiria Tanzania (Chakua), kimemuomba Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, kuwawajibisha watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), kutokana na kushindwa kuwatetea...
10 years ago
Daily News15 Sep
Police, Sumatra must get their act right
Daily News
A MEETING of transport stakeholders held over the weekend in Dodoma gave an insight into how, if we pull together, carnage on the country's roads can be curtailed. The meeting brought together transport operators (TABOA), regulators (SUMATRA), law ...