50 Cent kuandaa series ya comedy kwaajili ya Fox
Baada ya kufanya vizuri kwenye Power, 50 Cent ameendelea kutanua wigo wake kwenye TV kwa kuandaa series mpya ya komedi.
Series hiyo itakayoonekana kupitia kituo cha Fox inaitwa ‘My Friend 50’ ambayo rapper huyo atakuwa akionekana mara chache pia.
Series hiyo inafuata maisha ya Amanda Kramer anayeamini kuwa akiunga na kampani ya 50 Cent inaweza kuwa jibu la matatizo yake.
Hatua hiyo imekuja miezi kadhaa baada ya 50 ambaye ni mtayarishaji mkuu wa tamthilia ya Power kusaini mkataba wa miaka...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Oct
Fox kuja na series ya ‘Think Like A Man’
9 years ago
Bongo501 Dec
Mastaa wa tamthilia ya Bones waishtaki Fox
![1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull-300x194.jpg)
Mastaa wa tamthilia ya ‘Bones’, Emily Deschanel na David Boreanaz wameungana na mtayarishaji mkuu, Barry Josephson kuishtaki tamthilia ya Fox kwa faida ambayo hawakulipwa.
Waigizaji hao waliwasilisha malalamiko yao Jumatatu kwenye mahakama ya jijini Los Angeles pamoja na mwandishi na mtayarishaji mkuu, Kathy Reichs, wakidai kuwa kampuni ya 20th Century Fox iliwadhulumu mamilioni ya dola ya faida kwa kuficha nyaraka na kudanganya mahesabu.
Mashtaka hayo yanadai kuwa ukaguzi wa mahesabu...
5 years ago
TheCitizen15 Feb
Fox suspends TV host in probe of lewd text messages
5 years ago
The Verge25 Mar
Fox will broadcast NASCAR’s substitute sim racing ‘season’ on television
10 years ago
VijimamboMesa Police arrest 5 in undercover sex sting - Mmoja ni Mtanzania - Fox 10 Phoenix
Mesa Police detectives arrested 5 suspects in an undercover child prostitution sting.
One of the suspects is a priest and police say they had to use a Taser to arrest him.
According to court documents detectives posed as a 16-year-old girl who the suspects solicited to have sex with.
Police say the suspects were between 26 to 49 years-old. All...
9 years ago
Bongo526 Nov
#SomeoneTellFoxNews: Kenyans on Social Media Express Outrage over Fox News’ Story on Pope’s African Trip
![Fox](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Fox-300x194.png)
Kenyans on social media yesterday again unleashed on an international media outlet, this time on Fox News after the US network ran a news segment titled “Pope Visits War-Torn Africa” following Pope Francis’ arrival in Kenya for the start of a 3-day, 3-country tour of Africa.
The Holy father’s trip includes stops in Kenya, Uganda, and Central African Republic.
Following the news segment, several Kenyans took to twitter to express their frustration of frequent description of the continent by...
9 years ago
Bongo525 Sep
Tamthilia ya Empire yarejea kwa kishindo, yavunja rekodi ya Fox ya miaka sita, ushoga wawa maradufu!
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/1622B/production/_83776609_83775874.jpg)
VIDEO: Comedy at a funeral in DR Congo