Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fox kuja na series ya ‘Think Like A Man’

Filamu ya komedi ya ‘Think Like A Man’ inatarajiwa kutengenezwa kama series ya kwenye runinga ikiwa na watu wale wale kwenye upande wa ubunifu, mtandao wa deadline.com umeripoti. Kituo cha Fox kinaitengeneza Think Like A Man itakayotayarishwa na mchekeshaji, Steve Harvey, ambaye vitabu vyake vilitumika kutengeneza filamu hizo. Mtayarishaji wa filamu hizo Will Packer naye […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

50 Cent kuandaa series ya comedy kwaajili ya Fox

2015 Winter TCA - Portraits

Baada ya kufanya vizuri kwenye Power, 50 Cent ameendelea kutanua wigo wake kwenye TV kwa kuandaa series mpya ya komedi.

2015 Winter TCA - Portraits

Series hiyo itakayoonekana kupitia kituo cha Fox inaitwa ‘My Friend 50’ ambayo rapper huyo atakuwa akionekana mara chache pia.

Series hiyo inafuata maisha ya Amanda Kramer anayeamini kuwa akiunga na kampani ya 50 Cent inaweza kuwa jibu la matatizo yake.

Hatua hiyo imekuja miezi kadhaa baada ya 50 ambaye ni mtayarishaji mkuu wa tamthilia ya Power kusaini mkataba wa miaka...

 

9 years ago

Bongo5

Tidal ya Jay Z kuja na series za vichekesho

Jay ZKampuni ya Tidal, inayomilikiwa na Jay Z inatarajia kuanzisha series za vichekezo. Kwa mujibu wa Variety, Tidal itaonesha series mbili mpya. Series hizo ni pamoja na kipindi cha No Small Talk kinachowapa fursa wachekeshaji wachanga na kuendeshwa Cipha Sounds ambacho kinaanza Jumanne hii, November 3. Mradi mwingine ni msimu wa pili wa Money & Violence […]

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili kuja kuja na wimbo ‘Baba Swalehe’

nikki wa piliRapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili anatarajia kuachia wimbo uitwao Baba Swahele. Amedai kuwa wimbo huo unazungumzia mwanaume bachelor ‘anayeishi ndani ya ndoa.’ “Baba Swalehe ni mtu ambaye anaishi kibachela ndani ya ndoa,” Nick amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Wimbo ukitoka watajua unawezaje kuishi ndani ya ndoa lakini ukiwa unaishi kibachela? […]

 

9 years ago

Bongo5

Mastaa wa tamthilia ya Bones waishtaki Fox

1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull

Mastaa wa tamthilia ya ‘Bones’, Emily Deschanel na David Boreanaz wameungana na mtayarishaji mkuu, Barry Josephson kuishtaki tamthilia ya Fox kwa faida ambayo hawakulipwa.

1280x960_Bones_wallpaper_bb-skull

Waigizaji hao waliwasilisha malalamiko yao Jumatatu kwenye mahakama ya jijini Los Angeles pamoja na mwandishi na mtayarishaji mkuu, Kathy Reichs, wakidai kuwa kampuni ya 20th Century Fox iliwadhulumu mamilioni ya dola ya faida kwa kuficha nyaraka na kudanganya mahesabu.

Mashtaka hayo yanadai kuwa ukaguzi wa mahesabu...

 

5 years ago

TheCitizen

Fox suspends TV host in probe of lewd text messages

A host on US cable network Fox News has been suspended during an investigation into allegations that he texted unsolicited lewd images to women co-workers, the company said Saturday.

 

5 years ago

The Verge

Fox will broadcast NASCAR’s substitute sim racing ‘season’ on television

Fox will broadcast NASCAR’s substitute sim racing ‘season’ on television  The VergeFox Sports to broadcast the full season of NASCAR’s virtual race series  TechCrunchNASCAR Drivers Started Racing Each Other Online, And It's Heading To TV  LADbibleFOX Sports to air full NASCAR iRacing season after successful TV debut  Dot EsportsAuto Racing Goes Virtual to Ward Off Cabin Fever  ExtremeTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Vijimambo

Mesa Police arrest 5 in undercover sex sting - Mmoja ni Mtanzania - Fox 10 Phoenix

 Kuangalia video bofya hapa: http://www.fox10phoenix.com/story/27617308/2014/12/12/mesa-police-arrest-5-in-undercover-sex-sting MESA, Ariz. -
Mesa Police detectives arrested 5 suspects in an undercover child prostitution sting.
One of the suspects is a priest and police say they had to use a Taser to arrest him.
According to court documents detectives posed as a 16-year-old girl who the suspects solicited to have sex with.
Police say the suspects were between 26 to 49 years-old. All...

 

9 years ago

Bongo5

#SomeoneTellFoxNews: Kenyans on Social Media Express Outrage over Fox News’ Story on Pope’s African Trip

Fox

Kenyans on social media yesterday again unleashed on an international media outlet, this time on Fox News after the US network ran a news segment titled “Pope Visits War-Torn Africa” following Pope Francis’ arrival in Kenya for the start of a 3-day, 3-country tour of Africa.

Fox

The Holy father’s trip includes stops in Kenya, Uganda, and Central African Republic.

Following the news segment, several Kenyans took to twitter to express their frustration of frequent description of the continent by...

 

9 years ago

Bongo5

Tamthilia ya Empire yarejea kwa kishindo, yavunja rekodi ya Fox ya miaka sita, ushoga wawa maradufu!

Tamthilia ya Empire imerejea kwenye msimu wake wa pili kwa kishindo Jumatano hii. Show hiyo imetazamwa na watu milioni 16.18 na kuifanya kuwa season mpya iliyoangaliwa zaidi kwenye kituo cha runinga cha Fox tangu tamthilia ya House mwaka 2009. Hiyo ni habari njema kwa Fox kwakuwa The Hollywood Reporter imeripoti kuwa tangazo la sekunde 30 […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani