Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Jux aingiza sokoni nguo zake za ‘African Boy’

1209720_1016120505112306_2017605717_n

Pamoja na kuonesha kitita cha $50,000 ambazo ni takriban shilingi milioni 100 kwenye Instagram hivi karibuni, Jux hapunguzi speed za kuchase papers.

1209720_1016120505112306_2017605717_n

Muimbaji huyo wa ‘Looking For You’ aliyerejea China anakoendelea na masomo, ameingiza sokoni nguo za brand yake, African Boy.

10549656_922209281191884_1244900222_n

Hadi sasa t-shirt za kike na kiume pamoja na kofia za brand hiyo zimeshaingia sokoni. Hizi ni baadhi ya bidhaa hizo.

12237149_976300702440250_874251772_n

11326333_772185519554486_1666503124_n

11421983_982519548452909_174208484_n

11881803_1526338167683049_2126671777_n

12106291_185219581818718_1360584433_n

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jide aingiza sokoni Historia

BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya ‘Yahaya’, mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva, Judith Wambura ‘Jide’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwasabwite aingiza ya pili sokoni

MUIMBAJI wa muziki wa injili, Edson Mwasabwite, ameachia albamu ya pili inayojulikana kwa jina la ‘Amenihurumia asilimia mia’. Akizungumzia ujio wa albamu hiyo aliyoirekodi katika studio ya Cke, Mwasabwite amesema...

 

9 years ago

Bongo5

King Kaka aingiza sokoni maji ya kunywa, ‘Majik Walter’

Rapper kutoka nchini Kenya na mjasiriamali, King Kaka ameendelea kujikita zaidi kwenye biashara baada ya kuingiza bidhaa yake mpya ya maji sokoni. King Kaka ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake’Najipendelea’ aliowashirikisha G-Nako na Joh Makini, ameiambia 255 ya kipindi cha Clouds FM, XXL kuwa ameamua kutumia muziki wake kibiashara zaidi. Timu ya Kabras Rugby […]

 

11 years ago

CloudsFM

BARNABA BOY APATA MANAGER WA KUMSIMAMIA KAZI ZAKE

Msanii wa Bongo Fleva,Barnaba Boy Classic kwa mara ya kwanza ametafuta meneja tangu aanze rasmi ‘game’ ya muziki wa Bongo Fleva.Barnaba ameamua kutafuta mtu wa ku'manage' kazi zake za muziki ndani na nje Tanzania pamoja na michongo yote ya kijamii na mitonyo, hajawahi kufanya hivi tangu atoke na wimbo wake Wrong Number mwaka 2009, na meneja wake ni Lumuliko Mengele.Barnaba huyu hapa anafunguka.

 

11 years ago

Bongo5

Tudd Thomas afuata nyayo za Dr. Dre, kuingiza sokoni headphone zake ‘TTP’

Producer wa single mpya za Diamond ‘Mdogo mdogo’ na ‘Ndagushima’ ya Ommy Dimpoz, Tudd Thomas ameweka wazi kuhusu mradi wake mpya wa headphones zitakazokuwa na brand ya Beats By Thomas TTP, yaani ‘Tudd Thomas Production’. Akizungumza na tovuti ya TIMES FM, Thomas ameelezea jinsi wazo la mradi huo ambao uko jikoni lilivyozaliwa: “Wakati mimi naanza […]

 

9 years ago

Bongo5

Jux aonesha milioni 100 kwenye Instagram (Picha)

page

Kumiliki shilingi milioni 100 kwa wakati mmoja kwa watu wengi ni ndoto nadra kutimia. Kwa Jux hizo ni fedha anazozishika kila wakati na ndio maana haoni hatari kuwaonesha mashabiki wake kwenye Instagram.

IMG_9357

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Jux amepost picha za fedha hizo zilizo kwa dola na kuandika:

It’s 50k in USD, its 100million in TSHs I think I don’t have a bad weekend I saw my first 100mil when I was 22 now it’s not new anymore go hard everything is possible in God I trust 🙏🙏 don’t forget...

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee athibitisha uhusiano na Jux kwa picha hii?

Kwa mara kibao Vanessa Mdee na Jux wamekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi licha ya kuonesha dalili nyingi ya kuwa ni item. A picture is worth a thousand words Lakini huenda mastaa hao wanataka kuufanya uhusiano wao official kwa mwaka 2015. Vee Money ametoa hint kuhusu uwezekano wa wawili hao kuwa pamoja kwenye picha aliyoweka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani