BARNABA BOY APATA MANAGER WA KUMSIMAMIA KAZI ZAKE
Msanii wa Bongo Fleva,Barnaba Boy Classic kwa mara ya kwanza ametafuta meneja tangu aanze rasmi ‘game’ ya muziki wa Bongo Fleva.
Barnaba ameamua kutafuta mtu wa ku'manage' kazi zake za muziki ndani na nje Tanzania pamoja na michongo yote ya kijamii na mitonyo, hajawahi kufanya hivi tangu atoke na wimbo wake Wrong Number mwaka 2009, na meneja wake ni Lumuliko Mengele.Barnaba huyu hapa anafunguka.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-KS-7EQZavqs/VYLY9QJsDkI/AAAAAAAACI4/SZEx3MbdFKQ/s72-c/i%2Bbelieve%2Bartwork.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9ra5C1kT4Gk/VEdGJyjDo6I/AAAAAAADKWU/YPgon67dOJI/s72-c/10623071_468693249938786_7737430154881907448_n.jpg)
10 years ago
Michuzi02 Feb
11 years ago
Michuzi27 Feb
Video: Mr. Blue, Dyna, Barnaba Boy na Amini warekodi wimbo wa kampeni ya dereva makini 2014
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Barnaba Boy na Dyna Nyange wameshiriki kurekodi wimbo wao utakaotumika kwenye kampeni ya dereva makini inayolenga kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri.
Wimbo huo umerekodiwa na...
10 years ago
Bongo530 Sep
Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake
9 years ago
Bongo514 Nov
Picha: Jux aingiza sokoni nguo zake za ‘African Boy’
![1209720_1016120505112306_2017605717_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/1209720_1016120505112306_2017605717_n-300x194.jpg)
Pamoja na kuonesha kitita cha $50,000 ambazo ni takriban shilingi milioni 100 kwenye Instagram hivi karibuni, Jux hapunguzi speed za kuchase papers.
Muimbaji huyo wa ‘Looking For You’ aliyerejea China anakoendelea na masomo, ameingiza sokoni nguo za brand yake, African Boy.
Hadi sasa t-shirt za kike na kiume pamoja na kofia za brand hiyo zimeshaingia sokoni. Hizi ni baadhi ya bidhaa hizo.
10 years ago
Michuzi14 Feb
BARNABA BOY NA AMINI WATINGA RADIO KASIBANTE 88.5 FM RADIO BUKOBA, TAYARI KWA KUTOA BURUDANI LEO VALENTINE DAY LINA'S NIGHT CLUB
10 years ago
Vijimambo02 Dec
Office Manager (Controller - Admin Manager - Car Sales)
9 years ago
Bongo503 Nov
Barnaba afanya kazi na msanii mwingine wa Uganda, ‘Kleyah’
![Teaser-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Teaser-1-94x94.jpg)