Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRAND NEW TRACK-Ammy Chiba ft Barnaba Boy - Tunda langu

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Brand New Track “Gimme A Call” — Hisia

image (2)

Baada ya ukimya mdogo star kutoka TPF ambaye ametamba na ngoma zake kama Mawazo na Just fo you amerudi tena,”nimeona nifanye kitu kitogo kwaajili ya mashabiki wangu huku nikiendelea kuboresha tamasha la muziki wa hisia,nawapenda sana”,anasema Hisia,hii ni ngoma yake mpya inaitwa “Gimme A  Call” ikiwa ni mkono wa John Blass wa Grandmaster Records.

Sikiliza/Download Gimme A Call hapa; https://mkito.com/song/gimme-a-call/3054

Song;Gimme A Call

Artist;Hisia

Studio:Grandmaster...

 

10 years ago

Africanjam.Com

11 years ago

CloudsFM

BARNABA BOY APATA MANAGER WA KUMSIMAMIA KAZI ZAKE

Msanii wa Bongo Fleva,Barnaba Boy Classic kwa mara ya kwanza ametafuta meneja tangu aanze rasmi ‘game’ ya muziki wa Bongo Fleva.Barnaba ameamua kutafuta mtu wa ku'manage' kazi zake za muziki ndani na nje Tanzania pamoja na michongo yote ya kijamii na mitonyo, hajawahi kufanya hivi tangu atoke na wimbo wake Wrong Number mwaka 2009, na meneja wake ni Lumuliko Mengele.Barnaba huyu hapa anafunguka.

 

11 years ago

Michuzi

Video: Mr. Blue, Dyna, Barnaba Boy na Amini warekodi wimbo wa kampeni ya dereva makini 2014

Ni ukweli usiopingika kuwa ajali zimekuwa ni mwiba mchungu kwa familia, jamii na taifa kwa ujumla unaoacha kilio, walemavu, yatima, wajane na wagane kila kukicha. 
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Barnaba Boy na Dyna Nyange wameshiriki kurekodi wimbo wao utakaotumika kwenye kampeni ya dereva makini inayolenga kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. 
Wimbo huo umerekodiwa na...

 

11 years ago

CloudsFM

Brand New Song: Country Boy Ft. Blue Mchaka Mchaka

Hii ni ngoma nyingine mpya kutoka kwa Country Boy inaitwa Mchaka Mchaka, ngoma imefanyika chini ya producer Messen Selekta, Blue ameisimamia vya kutosha chorus ya ngoma hii…
unaweza kuiskiliza kwakubonyeza play

 

10 years ago

Michuzi

BARNABA BOY NA AMINI WATINGA RADIO KASIBANTE 88.5 FM RADIO BUKOBA, TAYARI KWA KUTOA BURUDANI LEO VALENTINE DAY LINA'S NIGHT CLUB

Mwanamuziki anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki nchini Elias Barnabas ‘Barnaba’ akiimba moja ya wimbo wake Ndani ya Studio Radio Kasibante 88.5 FM huku akipiga Gitaa lake.. Mzee wa Robo saa Amini akitokelezea leo wakati anazungumza na Wananchi wa Bukoba Kupitia Radio Kasibante 88.5 FM leo ambapo usiku huu watakuwa pamoja na Barnaba kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club kutoa Burudani ya Nguvu na Special kwa Siku ya Wapendanao "Valentine Day" Picha na Faustine Ruta wa...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba aanzisha bendi yake ‘Barnaba Classic’

Barnaba ameanzisha bendi yake mwenyewe. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bendi yake ilikuwepo lakini sasa itakuwa na vifaa vya kisasa. “Nina bendi toka muda mrefu ila sasa hivi ndo naifanya official. Naanza kunua vifaa vyangu vya muziki au kama akitokea mtu akaninunulia sio mbaya pi,” amesema. “Bendi itakuwa ni bendi tofauti zingine zote unazozijua. Mimi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani