Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwasabwite aingiza ya pili sokoni

MUIMBAJI wa muziki wa injili, Edson Mwasabwite, ameachia albamu ya pili inayojulikana kwa jina la ‘Amenihurumia asilimia mia’. Akizungumzia ujio wa albamu hiyo aliyoirekodi katika studio ya Cke, Mwasabwite amesema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jide aingiza sokoni Historia

BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya ‘Yahaya’, mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva, Judith Wambura ‘Jide’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la...

 

9 years ago

Bongo5

King Kaka aingiza sokoni maji ya kunywa, ‘Majik Walter’

Rapper kutoka nchini Kenya na mjasiriamali, King Kaka ameendelea kujikita zaidi kwenye biashara baada ya kuingiza bidhaa yake mpya ya maji sokoni. King Kaka ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake’Najipendelea’ aliowashirikisha G-Nako na Joh Makini, ameiambia 255 ya kipindi cha Clouds FM, XXL kuwa ameamua kutumia muziki wake kibiashara zaidi. Timu ya Kabras Rugby […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jux aingiza sokoni nguo zake za ‘African Boy’

1209720_1016120505112306_2017605717_n

Pamoja na kuonesha kitita cha $50,000 ambazo ni takriban shilingi milioni 100 kwenye Instagram hivi karibuni, Jux hapunguzi speed za kuchase papers.

1209720_1016120505112306_2017605717_n

Muimbaji huyo wa ‘Looking For You’ aliyerejea China anakoendelea na masomo, ameingiza sokoni nguo za brand yake, African Boy.

10549656_922209281191884_1244900222_n

Hadi sasa t-shirt za kike na kiume pamoja na kofia za brand hiyo zimeshaingia sokoni. Hizi ni baadhi ya bidhaa hizo.

12237149_976300702440250_874251772_n

11326333_772185519554486_1666503124_n

11421983_982519548452909_174208484_n

11881803_1526338167683049_2126671777_n

12106291_185219581818718_1360584433_n

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

10 years ago

Michuzi

Mwasabwite kukonga Tamasha la Krismasi

MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini Edson Mwasabwite anayetamba kwa sasa na kibao chake kijulikanacho kwa jina la ‘Ni kwa Neema na Rehema’ amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi katika Tamasha la Krismasi litakalofanyika katika mikoa ya Mbeya, Iringa na Songea Desemba mwaka huu.
Mwasabwite alisema amejipanga kikamilifu kukonga nyoyo za mashabiki wake katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, 26 na 28 hivyo mashabiki zake wajitokeze kwa wingi kupata burudani ya nguvu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kabila aingiza wapinzani serikalini

Rais wa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila amebuni serikali ya Muungano ambayo inajumuisha viongozi kadhaa wa upinzani.

 

11 years ago

CloudsFM

ZITTO KABWE AINGIZA SAUTI KWENYE WIMBO MPYA WA LINEX

Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya” katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.Kwa mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA WA BARABARA YA MKAPA AWAMU YA PILI

Makamu wa Pili wa Rais Balozi Zanzibar Seif Ali Iddi akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Barabara ya Amani- Mtoni kwa awamu ya pili ya ujenzi wake katika shamra shamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar. (kushoto alievaa kofia ya pama) Katibu Mkuu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Juma Malik Akili.Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua Barabara ya Mkapa iliopo Amani-Mtoni ikiwa ni shamra shamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAOMBWA KULIINGIZA ZAO LA PILI PILI KICHAA KWENYE MAZAO YA KIMKAKATI.


Mhandishi na mkulima wa Manguajuki manispaa ya Singida,akikagua pilipili kichaa.Bei ya pilipili kichaa kilo ni shilingi 5,000 kwa kilo. Sehemu ya ekari tano za shamba la pilipili kichaa la mhandisi/mkulima wa Manguanjuki manspaa ya SingidamHassan Tati. Mmoja kati ya miche ya mapapai iliyopo kwenye shamba la pilipili kichaa linalomilikiwa na mhandisi/mkulima Haasan Tati mkazi wa Manguanjuki nje kidogo ya mji wa Singida.Mhandisi na mkulima na mkazi wa Manguanjuki manispaa ya ...

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA KUHUSU AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI-KAMPENI GOGOTA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Dk.Helen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu awamu ya pili ya kampeni ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili (Kampeni Gogota). Kulia ni Mratibu wa Dawati la Katiba wa kituo hicho, Anna Henga na Mwanasheria wa Kituo hicho, Harold Sungusia.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Picha/Habari na Dotto Mwaibale
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani