Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAYA MABASI YA MKOA, WEE ACHA TU!

Niliamka saa kumi alfajiri ili niweze kuwahi basi la kwanza ili nifanye safari yangu ya mkoa. Nilimpigia simu Bodaboda, akaja huku akilalamika kuwa nimemuamsha mapema mno, hatimae nikajikuta ndani ya basi nikiwa nimekaa kwenye kiti nilichopangiwa. Sikukaa muda mrefu akaingia mama mmoja naye akakaa pembeni yangu, tukasalimana vizuri na kutulia kungoja safari ianze. Basi likajaa saa kumi na mbili safari ikaanza, haikuchukua muda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TYEC MKOA WA SINGIDA YATOA ELIMU STENDI YA MABASI NAMNA YA KUJIKINGA KUPATA VIRUSI VYA CORONA

Mratibu wa Kamati ya Programu ya mapambano dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa corona kutoka TYEC Mkoa wa Singida, Stella Mwagowa (kulia) akitoa elimu ya namna ya kujikinga na Virusi vya Corona kwa Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani pamoja na wafanyakazi wa mabasi katika stendi kuu ya mabasi mkoani hapa. Macmillan Marco, kutoka TYEC  akitoa elimu hiyo kwa abiria ndani ya basi.
 Mmoja wa Wanajumuiya ya TYEC, Richard  Assey, akionesha namna ya kujipaka Sanitizer kwa ajili ya kujikinga na Virusi...

 

10 years ago

TheCitizen

CC meets until the wee hours

CCM’s Central Committee meeting dragged on past midnight as members haggled over the Top Five shortlist of potential presidential candidates.

 

10 years ago

GPL

SINDANO WEE ZISIKIE TU!

Baada ya kuona kwa siku nne mfululizo nina kuwa na ndoto inajirudia, nimeona nitafute msaada wa kitaalamu. Kila ikifika saa nane ya usiku ndoto ya kutisha inaanza, najiona nimeshashinda uchaguzi na nimechaguliwa kuwa rais, magazeti na mativi yote yananishangilia, wananchi wenye furaha wako mitaani na mabango yenye jina langu, mipango yote ya kuniapisha inaanza, umeme unakatika wapambe wanajitahidi kurudisha umeme inashindikana...

 

10 years ago

GPL

UNAVUKA ZEBRA CROSSING WEE PUNDAMILIA?

Dah nimeokota waraka huu wa siri unaoonekana umeandikwa na jamaa wenye vyombo vya usafiri, na unaelekezwa kwa watembea kwa miguu Dar es Salaam. Nimeona niulete hapa hadharani. Ndugu watembea kwa miguu, sisi wenye vyombo vya moto vya usafiri baada ya kuvumilia kwa muda mrefu tumeona tutoe dukuduku letu kuhusu nyinyi watembea kwa miguu wa Tanzania hususan nyinyi wa Jiji la Dar a.k.a Bongo. Watembea kwa miguu mnasababisha kero kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Makomando Ft Juma Nature – Mama Wee

artist_2192fada18da1b8ca1d800a292ec4f759e8.png

Kundi la mziki wa bongo fleva Makomando wameachia wimbo wao mpya unaitwa “Mama Wee”. wamemshirikisha mkongwe wa mziki huo Juma Nature. Studio Free Nation Music

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

GPL

WEE KAKA, PUNGUZA MAJI UGALI UIVE

MUHALI gani mabibi na mabwana hasa mlio katika mfungo wa Kwarezima. Najua mmenisubiri kwa hamu nami siwezi kuzipunguza raha zenu bali kuziongeza. Nashukuru kwa wote mlionipongeza kwa kupata mafunzo ambayo hawakuyapata hapo awali, siyo wote wamepitia mafunzo ya utaratibu wa maisha wa jando au unyago.Kutokana na kupokea maombi ya kina baba nao kuomba niwakumbuke katika ufalme wa mahusiano nami sina hiyana kwa vile wao ndiyo wapiga...

 

9 years ago

Global Publishers

Hujui? Wee mwenyewe ndo’ unamchepua mwenzio!

julianadidone3Leo shoga nina hasira na akina mama wanaodorora kwenye mahanjamu, ambao hawajui muda wa mume kupata chakula cha usiku au hawawapi nafasi waume zao pale wanapowahitaji.

Kutokana na hasira hizi hata salamu naona ngumu kuwapa kwani pointi zangu zitayeyuka, hivi mashosti hamjui mwanaume akishakuwa na stimu ya kula chakula hutakiwi kumkatisha?

Ndiyo maana wengi wenu mnalalamika kutoridhika, mara ooh mume wangu hana hamu siku zote.

Atakuwaje na hamu wakati akiwa nayo unamdengulia? Naamua kuwapa...

 

9 years ago

Michuzi

Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam

TATIZO la usafiri katika jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua kufuatia kuanza kupindi cha mpito cha mabasi Yaendayo Haraka (BRT) mwezi ujao kufuatia kuwasili kwa mabasi 138 katika Bandari ya Dar es Salaam kutoa China tayari kwa huduma ya usafiri.  Mkuu wa Mkowa Dar es Salaam, Bw. Saidi Meck Sadiki aliwaambia waandishi wa habari jana wakati alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam kujionea kuwasili kwa mabasi hayo, kuwa wakazi wa Dar es Salaama kwa sasa wataanza kutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani