Unene, shida na matibabu
Unene(obesity), ni ugonjwa unaokua kwa kasi kipindi hiki ukiambatana na madhara makubwa kiafya hata vifo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcKbv1TlYhsgDjTdJWi6*E9krG44X*gxvCyaPSH4PeA5GH3H5uzvKqpPkVB7K8C58lyA4e9GjMqoH5kCIPfeRi--/nene.jpg?width=650)
UNENE NI SHIDA! UNAONEKANA KUWA TISHIO KULIKO NJAA
Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa nchini Marekani umeonesha kuwa suala la unene wa kupita kiasi (obesity), limekuwa tatizo kubwa duniani kuliko hata tatizo la njaa. Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa mwaka 1950, idadi ya watu waliokuwa wakikabiliwa na njaa duniani ilikuwa milioni 700. Kwa miaka hiyo, watu milioni 100 tu ndiyo walioathiriwa na matatizo ya unene wa kupita kiasi. Yaani watu milioni 700 walikuwa wanasumbuliwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUmPclMt6T5HFmb-OCAetI5Woc02mvWAY0taI-TE-wm7Vp7LIw*3o*AAY7dBUv2pUYLcrbIy0hfbpu3AntSzybOm/bonge.jpg?width=650)
JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA-2
Tulieleza jinsi watu wenye vitambi au wanene wanavyopata shida na maradhi mbalimbali na wiki iliyopita tulieleza jinsi ya kupunguza unene, leo tunaendelea kuelekeza. Anza kukimbia kwa kasi ndogo halafu ongeza kasi. Au unaweza kukimbia kwa kasi ya juu dakika 5 na kisha kupunguza hadi 3. Hii inaitwa interval training, yenye lengo la kukupa uwezo wa kufikisha dakika 30, kuchoma mafuta mwilini na kupunguza mapigo ya moyo ili yarudi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF0khBN6hXACwOU0iasbxaRfXSGMta7qBsOBTFcD2BTx4OlQw1ew5O1QUdAPUCRhg*TqIaA1p3j*G30zZLkVSjv0/TheUKObesityCrisis.jpg?width=650)
MAGOJWA YANAYOAMBATANA NA UNENE (OBESITY)-2
Magonjwa yanayo ambatana na unene tumekuwa tukiyajadili tangu wiki iliyopita, leo tunahitimisha mada hii. Kupungua uzito, kuudhibiti au kutunza uzito alionao mtu baada ya kupunguza uzito ni jambo la msingi mno na ni suala linalohusisha kufanya mazoezi, kula lishe bora na mabadiliko mengineyo kama ifuatavyo:- 1) Mabadiliko ya tabia, mtu mwenye unene wa kupindukia anapaswa kupunguza kiwango cha chakula anachokula lakini kiwe chenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq18ihjG7PKGM-STjgM6J7T8*OH4qnjWmVRyUI-8eVry-uXz5rdK2fN6JMOm5Gt1Ln*NNnbxb29g4JfGyeFWh6mhU/howtoloseweightfast.jpg?width=650)
JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA
UNENE wa kupindukia ni ugonjwa na wasomaji wengi wametaka tuwasaidie kuwaeleza njia ya kupunguza au kuondoa tatizo hilo. Kuna njia nyingi sana ambazo hutumiwa na watu ili kupunguza mwili na tumbo, lakini baadhi huwa ngumu sana au zinakuwa haziendani na mazingira wanayoishi, hivyo watu wengi hushindwa njiani. Zipo njia za kutumia madawa au kahawa, chai ya kupunguza uzito na vinginevyo ambazo huwa si za kudumu na hata baadhi ya...
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Hoja ya unene katika ndoa
Je ni kweli wanawake walio katika ndoa kuwa wanene kupita kiasi ndio sababu ya waume zao kuwa na mipango ya kando?
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OE2hYQIhJTE/UzWlCwT265I/AAAAAAAFXDE/G1Z50MFfhcM/s72-c/unnamed+(61).jpg)
reminder ya programu ya kupunguza unene
![](http://2.bp.blogspot.com/-OE2hYQIhJTE/UzWlCwT265I/AAAAAAAFXDE/G1Z50MFfhcM/s1600/unnamed+(61).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLafJI7ePIFyQ4z2RY*q4-*6qNKt8BLgrz5BHYX06ZztatqKTfKahgUIpeDXc2x-JUGgO4kFMO*5uoo8G9pOrkjU2/selenaxxxxxxxxxxxxxxxxxx.gif?width=650)
UNENE WAMTESA SELENA GOMEZ
Staa wa muziki wa Pop, Selena Gomez. NEW YORK, MAREKANI WAZUNGU bwana! Staa wa muzikiwa Pop, Selena Gomez ameendelea kuteswa na unene ulioongezeka kwa muda mfupi huku mitandao ya kijamii ikimshambulia. Staa huyo aliyekuwa mpenzi wa staa mwenzake wa muziki, Justin Bieber kupitia ukurasa wake wa Instagram, mashabiki wake wengi wameonekana kukerwa na unene huo jambo linalomnyima usingizi staa huyo. Kabla hajaongezeka… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMnR095r2ankBsbvmzu84nOH1AUfG7dqLQKy19aD7JVHBxvAdsWp3aXDpE61SfXCp*JDa0QEzab*Q81J4GJ9Lg5a/riyana.jpg?width=650)
RIYAMA AJIVUNIA KUPUNGUA UNENE
Stori: Imelda Mtema
MIEZI michache baada ya kutoka kujifungua, staa wa sinema Bongo, Riyama Ally (pichani) amefunguka kuwa amefurahia kupungua unene kwa mazoezi aliyoyafanya kwani sasa ameanza kuigiza.
Akizungumzia mikakati yake mipya, Riyama alisema: “Bila kupungua nisingeweza kuigiza kama zamani, sasa nimeigiza sinema ya…
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Unene kupindukia katika nchi zinazostawi
Kunenepa kupindukia ni tatizo ambalo sasa linatishia zaidi maisha ya wengi katika mataifa yanayostawi duniani kuliko mataifa tajiri ambako mambo yana afadhali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania