Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGOJWA YANAYOAMBATANA NA UNENE (OBESITY)-2

Magonjwa yanayo ambatana na unene tumekuwa tukiyajadili tangu wiki iliyopita, leo tunahitimisha mada hii. Kupungua uzito, kuudhibiti au kutunza uzito alionao mtu baada ya kupunguza uzito ni jambo la msingi mno na ni suala linalohusisha kufanya mazoezi, kula lishe bora na mabadiliko mengineyo kama ifuatavyo:- 1) Mabadiliko ya tabia, mtu mwenye unene wa kupindukia anapaswa kupunguza kiwango cha chakula anachokula lakini kiwe chenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FAHAMU UHUSIANO ULIOPO KATI YA UNENE & UZITO ULIOZIDI (OBESITY & OVERWEIGHT ) NA TATIZO LA UKOSEFU/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Unene  na  uzito  uliozidi  ( Obesity )  ni  miongoni  mwa  vyanzo  na  visababishi  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Kwa   mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitabibu, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wenye   unene  na  uzito  uliozidi, wanakabiliwa  na  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
KWANINI  WANAUME  WENYE  UNENE  NA  UZITO  ULIOZIDI  WANAKABILIWA  NA  HATARI  KUBWA  YA  KUPATWA  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA...

 

11 years ago

BBC

Developing world obesity quadruples

The number of overweight and obese adults in the developing world has quadrupled to almost one billion since 1980, a UK think tank says.

 

10 years ago

Dewji Blog

Worth Reading: Dealing With Childhood Obesity

childhood_obesity1

A chubby child could soon turn into an obese kid.

In the growing-up years, little ones are pampered with all the foods they desire. Food may also be used as a quick fix to calm a child’s tantrums. These habits may turn cute and chubby kids into overweight and obese children. Obesity will lead to an inactive kid with a low self image. While feeding your little one good food is essential, you must also keep a check on how it’s affecting her body. Here’s all you need to know about childhood...

 

9 years ago

Dewji Blog

The coexistence of extreme deprivation and obesity is the real face of MALNUTRITION

GNR_TanzaniaStunting

GNR( GLOBAL NUTRITION REPORT) 2015 PRESS RELEASE. by andrewchale

 

11 years ago

Mwananchi

Unene, shida na matibabu

Unene(obesity), ni ugonjwa unaokua kwa kasi kipindi hiki ukiambatana na madhara makubwa kiafya hata vifo.

 

11 years ago

GPL

JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA

UNENE wa kupindukia ni ugonjwa na wasomaji wengi wametaka tuwasaidie kuwaeleza njia ya kupunguza au kuondoa tatizo hilo. Kuna njia nyingi sana ambazo hutumiwa na watu ili kupunguza mwili na tumbo, lakini baadhi huwa ngumu sana au zinakuwa haziendani na mazingira wanayoishi, hivyo watu wengi hushindwa njiani. Zipo njia za kutumia madawa au kahawa, chai ya kupunguza uzito na vinginevyo ambazo huwa si za kudumu na hata baadhi ya...

 

11 years ago

GPL

RIYAMA AJIVUNIA KUPUNGUA UNENE

Stori: Imelda Mtema
MIEZI michache baada ya kutoka kujifungua, staa wa sinema Bongo, Riyama Ally (pichani) amefunguka kuwa amefurahia kupungua unene kwa mazoezi aliyoyafanya kwani sasa ameanza kuigiza.
Akizungumzia mikakati yake mipya, Riyama alisema: “Bila kupungua nisingeweza kuigiza kama zamani, sasa nimeigiza sinema ya…

 

11 years ago

Michuzi

reminder ya programu ya kupunguza unene

Unajua kwamba unene wa kupindukia (overweight) unakuweka katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa mengi yakiwemo ya moyo,kisukari  presha n.k. ?  Kukabiliana na tatizo la unene ni chaguo lako na sisi tutakusaidia kutimiza lengo lako kupungua kilo unazotaka kwa kutumia programu yetu (Natural and healthy program) . Inakufikia popote ulipo. CLEAN 9. Ni muhimu katika kupunguza mwili kwasababu inafanya kazi ya kusafisha mwili,kuondoa sumu mwilini,kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini na kukupa...

 

10 years ago

GPL

JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA-2

Tulieleza jinsi watu wenye vitambi au wanene wanavyopata shida na maradhi mbalimbali na wiki iliyopita tulieleza jinsi ya kupunguza unene, leo tunaendelea kuelekeza. Anza kukimbia kwa kasi ndogo halafu ongeza kasi. Au unaweza kukimbia kwa kasi ya juu dakika 5 na kisha kupunguza hadi 3. Hii inaitwa interval training, yenye lengo la kukupa uwezo wa kufikisha dakika 30, kuchoma mafuta mwilini na kupunguza mapigo ya moyo ili yarudi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani