OEF yaendelea na mpango wa kuwawezesha wanafunzi kusoma kwa njia ya elektroniki
Mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Tusiime, Naomi Shija akifurahia kompyuta ya kiganjani (tablets), aliyokabidhiwa na Mwanzilishi wa Opportunity Education Foundatio (OEF), ya Marekani, Joe Rickehs, katika uzinduzi wa mpango wa kuwawezesha wanafunzi kusoma kwa njia ya elektroniki shuleni hapo, ambapo OEF imeipatia shule hiyo kompyuta hizo 100. Nyuma wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Tusiime, Albert Katagira na walimu wa shule hiyo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Wanafunzi watakiwa kusoma kwa malengo
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jacqueline Mneney, amewataka wanafunzi nchini kusoma kwa malengo ya kutimiza ndoto zao za baadaye. Amesema ikiwa kila anayesoma ataondokana na...
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KATAVI AFUNGUA MRADI WA KUSOMA KWA NJIA YA MTANDAO MKOANI MWAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9VjA3UxgulI/XmuLKkzP0II/AAAAAAACEZw/CdLtP6_1mco2vlJbCXSiZsWXptuyXGU4gCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI9931.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MPANGO MAALUMU WA KUWAWEZESHA WANAWAKE KUSHIKA NAFASI ZA UONGOZI
Akizindua mpango huo katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Abdulmajid Nsekela alisema, Mpango huo ni mahususi katika kuwawezesha wanawake wa CRDB Banki ili waweze kuwa viongozi katika nyanja mbalimbali pamoja na kuwafanya waweze kujiamini na kukamata fursa zilizopo.
Mpago huo ni mwendelezo wa...
10 years ago
GPLPROIN PROMOTION YAZINDUA MPANGO WA KUUZA FILAMU ZAKE KWA NJIA YA MTANDAO
10 years ago
MichuziPROIN PROMOTION YAZINDUA MPANGO WA KUUZA VILAMU ZAKE KWA NJIA YA MTANDAO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zlRAFyrSFsQ/XnDL7IoCx8I/AAAAAAACEcY/uwMn0D4LKHcU8B37lYEZ7f3MYVVNBJAWQCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI0495.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MPANGO MAALUM WA KUTOA MAONI KWA NJIA YA "QR CODE"
"Anachotakiwa kufanya mteja ni kuscan kwenye QR Code kwa kutumia simu yake ya smart ambayo imeunganishwa na internet, Mteja atafungua camera ya simu yake na kuscan kwenye QR Code ambazo zinapatikana kwenye matawi yote...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_-qhD5Azkio/VTAFMEE6zUI/AAAAAAAASek/Yxhf6BxRlAg/s72-c/MWANAFUNZI.jpg)
SHIRIKA LA UMATA LABUNI NJIA ZA KUBORESHA USAFI KWA WANAFUNZI HUKO DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-_-qhD5Azkio/VTAFMEE6zUI/AAAAAAAASek/Yxhf6BxRlAg/s640/MWANAFUNZI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z-DY0d7l3XU/VTAFNyokyqI/AAAAAAAASes/TBxurBuMicY/s640/WANAFUNZI%2BCHIDILO%2BSM%2B1.jpg)
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Wanafunzi waaswa kusoma sayansi
Na Patricia Kimelemeta, Muleba
WANAFUNZI wametakiwa kupenda kusoma masomo ya sayansi waweze kupata fursa ya ajira wanapomaliza masomo yao, jambo ambalo linaweza kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alikuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakatanga wilayani Muleba wakati wa kukabidhi kompyuta zitakazotumika kwa ajili ya masomo ya sayansi.
Alisema hatua hiyo itawasaidia kuingia kwenye soko la ushindani wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Wanafunzi 9,000 Karagwe hawajui kusoma
ZAIDI ya wanafunzi 9,000 wilayani Karagwe hawajui kusoma, kuandika na kuhesabu. Hali hiyo imebainika kutokana na utafiti uliofanywa na halmashauri ya wilaya hiyo mwaka jana. Ofisa Elimu Shule za Msingi,...