ESHA BUHETI AOGOPA DHAMBI YA KUJICHORA TATUU
![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO-B*qq0ZBwtsl0LGWfBZeNeFhw7BOYh33zAmgYkquu*pQX9MGDSYzJ6HER-BbKP2xd1fTO4wo8Wchdjoo-I4b3/msung.jpg?width=650)
Stori: Imelda Mtema MSANII wa filamu za Kibongo, Esha Buheti, amesema kuwa anaweza akafanya vitu vingi vya kujiremba lakini anaogopa sana kujichora tatuu kwani ni dhambi. Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buheti. Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Esha alisema kuwa kitu ambacho anahisi inaweza kuwa ni moja ya dhambi mbaya kabisa ni kujichora tatuu mwilini kwani katika dini yoyote au dhehebu lolote halikubali mtu...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies11 Nov
Tatuu Zamuumbua Esha Buheti
BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman kutengana, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumshauri staa huyo kukubaliana na matokeo.
Aunty Lulu aliyewahi kuwa mpenzi wa Bond, alimtaka mwenzake kukubaliana na matokeo kwani huenda muda ndiyo umefika na katika mapenzi, hilo ni jambo la kawaida.
“Sina la kuzungumza juu ya Bond maana sihusiani naye, mapenzi yalikuwa zamani ila kama uchumba umevunjika basi namshauri Wastara akubaliane tu na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGTRSOKNXYmj46XWVyLe3i5-XUEvSLqYeDauDzkpX3i2tPCsqclEEFWVorQ5thAaMN3yIpV*KeXu3fP50Yf9Or8E/esha.jpg)
TATUU ZAMUUMBUA ESHA BUHETI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXqrVJ-YCnvvP2ahJHGLFZC8SWXtRDHbyK*K9cI-pXE9P*zouURFTcLXolYglgahjcJHoaRSpuNG2iwmQDexQaqo/Buheti.gif?width=650)
ESHA BUHETI AKIRI KUCHEPUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSlFm5C5RuYiivAmc0rU8Os8D7xRpbqc072zUVp56NCGz50eWyQwm8yfg6dc2Y*QEO-HTFOeNbHQnt9zNjtyx2Dc/esha.jpg)
ESHA BUHETI AKACHA KUIGIZA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFm6*sqGkuxv8iy3Txrf0FG94EX9I4nqH9rlLT0NPEYPqd1uMBac*RIHq9uIrJKrmTXKu74TnpT-RnvsHUcI7VXQ/esha.jpg)
ESHA BUHETI AWASHANGAA WALIOKIMBIA UCHAGUZI
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Baridi ya Uingereza Ilimtesa Esha Buheti
MWIGIZAJI nyota wa kike Bongo Esha Buheti amefunguka kuwa baridi aliyokutana nayo nchini Uingereza hakutamani kuendelea kubaki London kwani toka azaliwe hajawahi kukutana na baridi kama aliyokutana na nayo huku, kwa alitamani kurudi Bongo.
wanasema kuna baridi Iringa sijui Tanga na sehemu nyinginezo lakini lile la London si baridi bali ni hatari, nilikuwa nimekata tamaa na kutaka kurudi kwani baridi ilikuwa kali sana,”anasema Esha.
Msanii huyo alikuwa nchini Uingereza kurekodi filamu akiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwnqqEAnVBtzmlshOUFO1wEFL0TVunN5npVTjLOo6l7YHV1edvUe8a6o43E3F0RSdLe-daIwIQEOBu-64WrdAJl/esha.jpg?width=650)
ESHA BUHETI ANANGWA, KISA MAKALIO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbsfs2VrfFRZJSnkmHVJFgJNaNY1Bi-kDS6rs1Z0ewrDugWqu23pOe23t15OUx9PCn7tcyZOHUsUQ5k9Cdfve*n/5.jpg?width=650)
ESHA BUHETI AAPA KIAPO CHA KIFO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5C1bXPthPkvuIhCVdHJibACR3gl14Hl95LItkRczuj27-idB6WTO9g8ElLUDfAWjOxuiBjgYJAvVZdBAkH4HwDp/BUHETY.jpg)
ESHA BUHETI AJIAPIZA KIAPO CHA KIFO