Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIBIRA FILMS ITERNATIONAL KUIBUKA NA MOVI NYINGINE

  Kibirafilms International is getting ready to produce its next feature film. “ESTHER WANJIRU” is a film about an African couple going through life and relationship struggles in the United States, with a bizarre twist. The movie's tag line summarizes it here: "In a parade of crocodiles, it is not easy to spot lizards."  Or, as we say it in Swahili, "Katika msafara wa mamba, kenge wamo."  It will be shot locally in the Twin Cities. Please see the synopsis at the bottom of this email.
 You are...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

‘Mahabusu’ Nyingine Kutoka Jerusalem Films,Wakali Kutoka Norway Ndani

Staa mkonhwe wa bongo movies, Jacob Stephen ambaye  ni mkurugenzi wa kampuni yake inayojihusisha na utengenezaji wa filamu, Jerusalem Films Company amedokeza kuwa filamu inayokwenda kwa jina la MAHABUSU ndiyo kazi mpya inayofuata kuingia sokoni.

JB aliyasema hayo kupitia ukursa wake mtandaoni  ambapo aliweka picha hiyo hapo juu ya kasha la filamu hiyo na kuandika.

Kutoka Jerusalem films hii ndio inakuja.inaitwa MAHABUSU. Washiriki....unaikumbuka Regina unamkumbuka yule dada aliyecheza kama...

 

10 years ago

Vijimambo

ABELA KIBIRA MWANAMUZIKI MWENYE ASILI YA TANZANIA ANAYETIKISA AMERIKA KIMUZIKI

Mkoa wa Kagera umebarikiwa kuwa na uwakilishi mzuri katika tasnia mbalimbali ndani na nje ya nchi, mfano mzuri ni Mwanamuziki wa kike Abela ambaye ni mzaliwa wa Bukoba Mkoani Kagera anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania kimziki huko Amerika anakoishi na kufanya kazi zake za muziki.

Abela Kibira alizaliwa Septemba 22 mwaka 1989 akiwa mtoto wa kwanza katika familia ya Mtanzania Josiah Kibira mzaliwa wa Bukoba Kagera, Tanzania na Mmarekani, Mrs Josiah Kibira.
Mchanganyiko huo wa tamaduni...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasanii Bongo movi waenda Uturuki

Wasanii wanne wa filamu nchini wameondoka nchini usiku wa kuamkia jana kwenda Uturuki, ambako watajifunza utamaduni wa nchi hiyo pamoja na kukutana na wasanii wakubwa wa filamu wa nchi hiyo.Wasanii walioondoka nchini ni pamoja na Amri Athumani ‘Mzee Majuto’, Vincent Kigosi ‘Ray’, Irine Uwoya na Jacob Steven ‘JB’.

 

11 years ago

GPL

MSTUKO: MSANII RACHEL HAULE WA BONGO MOVI AFARIKI DUNIA!

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es…

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA SINEMA WA BONGO MOVI CHARLES MAGALI ATEMBELEA KILIMANJARO STUDIO, WASHINGTON, DC.

 Kutoka kushoto ni One Mic akiwa pamoja na Dj MO ndani ya studio ya Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland nchini Marekani. Mcheza sinema wa Bongo Movi, Charles Magali ambaye pia ni mwimbaji wa nyimbo za dansi(kushoto) akiwa na mwenyeji wake Kenyatta wakiwa ndani ya Studio ya Kilimanjaro. Charles Magali akifanyiwa mahojiano na matangazaji mahairi wa Radio Mubelwa Bandio ndani ya studio ya Kilimanjaro iliyopo Beltsville, Maryland. Mtangazaji mahiri wa Radio na muuliza maswali tata, Mubelwa...

 

11 years ago

Michuzi

SEMINA YA WASANII WA BONGO MOVI KUFANYIKA IJUMAA 21 FEBUARI 2014 KATIKA UKUMBI WA VIJANA KINONDONI

Mkurugenzi Mtendaji Kampuni ya Chief Promotion Amoni Mkoga (kulia), akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), jijini Dar es Salaam 18 Februari-214 kuhusina na maandalizi ya semina ya hatimilki kwa wasanii wa bongo movi itakayofanyika katika ukumbi wa Vijana kinonondoni 21-Februari 2014 (katikati), Mwenyekiti wa Bongo Movi, Steven Mengeze (kushoto), Meneja Msaidizi Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Matilda Nyallu.

 

11 years ago

TheCitizen

So what is wrong with our films?

>The Africa Magic Viewers’ Choice Awards came and went, that is a fact, so did the glamour, success and failures that came with it.

 

11 years ago

Daily News

Censorship of music and films underway


Censorship of music and films underway
Daily News
THE Tanzania Film Censorship Board of the Ministry of Information, Youth, Culture and Sports has said it will start censoring music and film works before they are released to the public. The exercise which is set to start this week seeks to observe whether the ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kanumba The Great Films Haijafungwa- Nova

Production Manager wa kampuni ya marehemu Steven Kanumba Kanumba The Great Films Novatus Mayenja ‘Nova’ amefunguka kwa kukanusha kuwa kampuni hiyo imefilisika bali imehamishwa kutoka mitaa ya Sinza na kurudishwa nyumbani mitaa ya Kimara Temboni.

“Kampuni ipo kama kawaida isipokuwa tu, utaratibu umebadilika kwa kuhamisha ofisi kutoka ilipokuwa na kuhamishia nyumbani kwa mama Kanumba na kazi zinaendelea kama kawaida,”anasema Nova.

Nova amedai kuwa tatizo lilikuwa ni kodi kwani kodi imekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani