Wasanii Bongo movi waenda Uturuki
Wasanii wanne wa filamu nchini wameondoka nchini usiku wa kuamkia jana kwenda Uturuki, ambako watajifunza utamaduni wa nchi hiyo pamoja na kukutana na wasanii wakubwa wa filamu wa nchi hiyo.Wasanii walioondoka nchini ni pamoja na Amri Athumani ‘Mzee Majuto’, Vincent Kigosi ‘Ray’, Irine Uwoya na Jacob Steven ‘JB’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BPzEgu-OamY/UwNoz73VaRI/AAAAAAAFN0M/fCO0jz3mJ8E/s72-c/unnamedN.jpg)
SEMINA YA WASANII WA BONGO MOVI KUFANYIKA IJUMAA 21 FEBUARI 2014 KATIKA UKUMBI WA VIJANA KINONDONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BPzEgu-OamY/UwNoz73VaRI/AAAAAAAFN0M/fCO0jz3mJ8E/s1600/unnamedN.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e8mtrFbB4GQ/UwNo1XznPHI/AAAAAAAFN0U/AYo2fG5FOAI/s1600/unnamedV.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Aug
Taifa Stars waenda Uturuki
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, ilitarajia kuondoka leo alfajiri kwenda Uturuki kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria, Super Eagles, katika mchezo wa Kundi G wa kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LuvRMo9hZBULiTM96bJ0MFvlTXi3-ljVLic9gNATwvQrj8WBE6E0rA0rKCpVijSOzljtLMsALRrkSGj5Ga1FudA/BREAKINGNEWS.gif)
MSTUKO: MSANII RACHEL HAULE WA BONGO MOVI AFARIKI DUNIA!
10 years ago
VijimamboMCHEZA SINEMA WA BONGO MOVI CHARLES MAGALI ATEMBELEA KILIMANJARO STUDIO, WASHINGTON, DC.
10 years ago
MichuziWASANII WA BONGO MOVIE WAWAOMBEA DUA WASANII WENZAO WALIOFARIKI DUNIA
5 years ago
Bongo514 Feb
Wasanii wa Bongo Movie wanaishi ‘Ki Bongo Flava’ – Nikki wa Pili
Msanii wa hip hop kutoka Weusi, Nikki wa Pili, ametia neno katika sakata linaloendelea la kupigwa marufuku kwa filamu za nje kwa madai zinaingizwa bila kulipiwa kodi hali ambayo imesababisha kuwa nyingi na kuzinyima filamu za ndani nafasi ya kufanya vizuri sokoni.
Hatua hiyo imekuja baada ya siku ya Jumatano wiki hii baadhi ya wasanii wa filamu nchini kuandamana wakiwa na Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Paul Makonda, kupinga filamu hizo ambapo RC huyo alipiga marufuku filamu hizo huku akitaka...
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva
Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao
“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...
10 years ago
Michuzi08 Sep
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10