MCHEZA SINEMA WA BONGO MOVI CHARLES MAGALI ATEMBELEA KILIMANJARO STUDIO, WASHINGTON, DC.
Kutoka kushoto ni One Mic akiwa pamoja na Dj MO ndani ya studio ya Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland nchini Marekani.
Mcheza sinema wa Bongo Movi, Charles Magali ambaye pia ni mwimbaji wa nyimbo za dansi(kushoto) akiwa na mwenyeji wake Kenyatta wakiwa ndani ya Studio ya Kilimanjaro.
Charles Magali akifanyiwa mahojiano na matangazaji mahairi wa Radio Mubelwa Bandio ndani ya studio ya Kilimanjaro iliyopo Beltsville, Maryland.
Mtangazaji mahiri wa Radio na muuliza maswali tata, Mubelwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMahojiano na Charles Magali ndani ya Washington DMV
10 years ago
Vijimambo
MASANJA MKANDAMIZAJI ATEMBELEA SamSPRO Studio WASHINGTON, DC
10 years ago
Vijimambo
MCHEZA SINEMA HARRISON FORD ANUSURIKA KIFO

11 years ago
Mwananchi02 Feb
Mcheza sinema wa kenya lupita nyong’o, mfano wa haiba ya kiafrika
10 years ago
VijimamboMahojiano na Charles Magali kwenye Mishumaa Ya Kale
Karibu umsikilize akihojiwa na Mbunifu na Mtayarishaji wa kipindi hiki Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio
11 years ago
Mwananchi15 May
Wasanii Bongo movi waenda Uturuki
11 years ago
GPL
MSTUKO: MSANII RACHEL HAULE WA BONGO MOVI AFARIKI DUNIA!
11 years ago
Michuzi
SEMINA YA WASANII WA BONGO MOVI KUFANYIKA IJUMAA 21 FEBUARI 2014 KATIKA UKUMBI WA VIJANA KINONDONI


9 years ago
Bongo519 Nov
Filamu ya Going Bongo kuanza kuoneshwa kwenye majumba sinema Dar kuanzia Dec 11

Filamu ya Going Bongo itaanza kuoneshwa kwenye majumba ya sinema jijini Dar es Salaam, ikiwemo Century Cinemax kuanzia December 11.
Filamu hiyo iliyoshinda tuzo ya Best East African Film (ZIFF) na Best International Film (BEFFTA UK) imechezwa na Ernest Napoleon.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10