Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHEZA SINEMA WA BONGO MOVI CHARLES MAGALI ATEMBELEA KILIMANJARO STUDIO, WASHINGTON, DC.

 Kutoka kushoto ni One Mic akiwa pamoja na Dj MO ndani ya studio ya Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland nchini Marekani. Mcheza sinema wa Bongo Movi, Charles Magali ambaye pia ni mwimbaji wa nyimbo za dansi(kushoto) akiwa na mwenyeji wake Kenyatta wakiwa ndani ya Studio ya Kilimanjaro. Charles Magali akifanyiwa mahojiano na matangazaji mahairi wa Radio Mubelwa Bandio ndani ya studio ya Kilimanjaro iliyopo Beltsville, Maryland. Mtangazaji mahiri wa Radio na muuliza maswali tata, Mubelwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mahojiano na Charles Magali ndani ya Washington DMV

Charles Magali akiwa ndani ya Kilimanjaro Studio zinazomilikiwa na Vijimambo Radio, Kwanza Production na NesiWangu MediaIjumaa ya Julai 24, 2015, mwigizaji na mwimbaji wa muziki nchini Tanzania Charles Magali alipata fursa ya kutembelea studio zetu zilizopo Beltsville Maryland. Hapo akazungumza nasi kwa ufupiKaribu umsikilize akihojiwa na Mbunifu na Mtayarishaji wa kipindi hiki Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio

 

9 years ago

Vijimambo

MASANJA MKANDAMIZAJI ATEMBELEA SamSPRO Studio WASHINGTON, DC

Mhubiri wa kimataifa na mchekeshaji maarufu Emmanuel Mgaya au jina maarufu Masanja Mkandamizaji juzi alitembelea studio za kuzalisha muziki na video za SamSPRO Studios zilizoko Washington, DC. Masanja kama anavyoonekana kwenye picha aliambatana na waimbaji wa nyimbo za injili Milca Kakete kutoka Canada na Milca Thomas kutoka North Carolina, pamoja na baadhi ya waimbaji wa kundi la The Sound of Glory kutoka kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministries lililoko Washington DC ambako...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA SINEMA HARRISON FORD ANUSURIKA KIFO

HARRISON FORD ANUSURIKA KIFO Ndegevita iliyotumika kwenye vita kuu vya pili va Dunia aliyokua akiendesha mcheza sinema aliyejipatia umaarufu kwenye sinea ya Indiana Jones Harrison Ford halimanusra ichukue uhai wake baada ya ndege hiyo inayotumia injini moja kuzimika muda mfupi baada ya kupaa na kuangukia kwenye viwanja vya gofu California. Harrison Ford ni rubani mzoefu na wa siku nyingi japo pia hapo nyuma alishapata ajali ya helkopa ilipoanguka baada ya kupata itilafu kwenye ingini. Katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Mcheza sinema wa kenya lupita nyong’o, mfano wa haiba ya kiafrika

Kabla ya kuanza safu hii, dada zangu, tuelewane moja. Leo mwanamke anapitia kipindi kigumu zaidi, kitaswira. Akivaa vibaya atabezwa, akivaa vizuri, anaringa; asipojijali atazomewa eti mchafu. Kama alivyo kipepeo na rangi rangi, mwanamke anapaswa awe tayari saa zote kuwe ukungu, jua hata vumbi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Charles Magali kwenye Mishumaa Ya Kale

Charles Magali akiwa ndani ya Kilimanjaro Studio zinazomilikiwa na Vijimambo Radio, Kwanza Production na NesiWangu MediaIjumaa ya Julai 24, 2015, mwigizaji na mwimbaji wa muziki nchini Tanzania Charles Magali alipata fursa ya kutembelea studio zetu zilizopo Beltsville Maryland. Hapo akazungumza nasi kwa ufupi
Karibu umsikilize akihojiwa na Mbunifu na Mtayarishaji wa kipindi hiki Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio

 

11 years ago

Mwananchi

Wasanii Bongo movi waenda Uturuki

Wasanii wanne wa filamu nchini wameondoka nchini usiku wa kuamkia jana kwenda Uturuki, ambako watajifunza utamaduni wa nchi hiyo pamoja na kukutana na wasanii wakubwa wa filamu wa nchi hiyo.Wasanii walioondoka nchini ni pamoja na Amri Athumani ‘Mzee Majuto’, Vincent Kigosi ‘Ray’, Irine Uwoya na Jacob Steven ‘JB’.

 

11 years ago

GPL

MSTUKO: MSANII RACHEL HAULE WA BONGO MOVI AFARIKI DUNIA!

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es…

 

11 years ago

Michuzi

SEMINA YA WASANII WA BONGO MOVI KUFANYIKA IJUMAA 21 FEBUARI 2014 KATIKA UKUMBI WA VIJANA KINONDONI

Mkurugenzi Mtendaji Kampuni ya Chief Promotion Amoni Mkoga (kulia), akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), jijini Dar es Salaam 18 Februari-214 kuhusina na maandalizi ya semina ya hatimilki kwa wasanii wa bongo movi itakayofanyika katika ukumbi wa Vijana kinonondoni 21-Februari 2014 (katikati), Mwenyekiti wa Bongo Movi, Steven Mengeze (kushoto), Meneja Msaidizi Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Matilda Nyallu.

 

9 years ago

Bongo5

Filamu ya Going Bongo kuanza kuoneshwa kwenye majumba sinema Dar kuanzia Dec 11

Going Bongo filamu (31)

Filamu ya Going Bongo itaanza kuoneshwa kwenye majumba ya sinema jijini Dar es Salaam, ikiwemo Century Cinemax kuanzia December 11.

Going Bongo filamu (31)

Filamu hiyo iliyoshinda tuzo ya Best East African Film (ZIFF) na Best International Film (BEFFTA UK) imechezwa na Ernest Napoleon.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani