Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mcheza sinema wa kenya lupita nyong’o, mfano wa haiba ya kiafrika

Kabla ya kuanza safu hii, dada zangu, tuelewane moja. Leo mwanamke anapitia kipindi kigumu zaidi, kitaswira. Akivaa vibaya atabezwa, akivaa vizuri, anaringa; asipojijali atazomewa eti mchafu. Kama alivyo kipepeo na rangi rangi, mwanamke anapaswa awe tayari saa zote kuwe ukungu, jua hata vumbi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

LUPITA NYONG’O: Mfano kwa wasanii wa kike Afrika Mashariki

KESHO ikiwa ni Siku ya Wanawake Duniani, mwanadada msanii mwenye asili ya Kenya, Lupita Nyong’o, anaisherehekea kwa furaha ya aina yake, kutokana na mafanikio ya kutwaa tuzo kubwa yenye umaarufu...

 

9 years ago

Bongo5

Mdogo wa kiume wa Lupita Nyong’o, Peter Nyong’o apata shavu la kwanza la kuigiza filamu ya Hollywood

Mdogo wa kiume wa mwigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o aitwaye Peter Nyong’o ameanza kufata nyayo za dada yake kwa kupata shavu la kuigiza kwenye filamu mpya huko Hollywood. Peter amepata nafasi ya kucheza kwenye filamu ya ‘Nocturnal Animals’ ya Tom Ford ambayo itatoka mwakani 2016. Hii itakuwa ndio mara yake ya kwanza kugiza kwenye filamu […]

 

11 years ago

Michuzi

Lupita Nyong'o kutoka kenya ashinda tuzo ya oscar ya muigizaji msaidizi bora wa kike

Muigizaji Lupita Nyong'o kutoka Kenya amenyakuwa tuzo ya Oscar ya mwigizaji msaidizi wa kike (Best Supporting actress) kwa uigizaji wake katika  filamu ya utumwa ya ''12 Years A Slave.'' leo  alfajiri mjini Los Angeles, Marekani.  Muigizaji  Will Smith ndiye aliyetangaza matokeo hayo, na baada ya kupokea tuzo hiyo kwa shangwe Lupita alifunguka na kusema: " Haikwepi mawazo yangu kwamba hata dakika moja ya furaha katika maisha yangu ni shukrani na maumivu makubwa kwa mtu mwingine.'' pia...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA SINEMA HARRISON FORD ANUSURIKA KIFO

HARRISON FORD ANUSURIKA KIFO Ndegevita iliyotumika kwenye vita kuu vya pili va Dunia aliyokua akiendesha mcheza sinema aliyejipatia umaarufu kwenye sinea ya Indiana Jones Harrison Ford halimanusra ichukue uhai wake baada ya ndege hiyo inayotumia injini moja kuzimika muda mfupi baada ya kupaa na kuangukia kwenye viwanja vya gofu California. Harrison Ford ni rubani mzoefu na wa siku nyingi japo pia hapo nyuma alishapata ajali ya helkopa ilipoanguka baada ya kupata itilafu kwenye ingini. Katika...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA SINEMA WA BONGO MOVI CHARLES MAGALI ATEMBELEA KILIMANJARO STUDIO, WASHINGTON, DC.

 Kutoka kushoto ni One Mic akiwa pamoja na Dj MO ndani ya studio ya Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland nchini Marekani. Mcheza sinema wa Bongo Movi, Charles Magali ambaye pia ni mwimbaji wa nyimbo za dansi(kushoto) akiwa na mwenyeji wake Kenyatta wakiwa ndani ya Studio ya Kilimanjaro. Charles Magali akifanyiwa mahojiano na matangazaji mahairi wa Radio Mubelwa Bandio ndani ya studio ya Kilimanjaro iliyopo Beltsville, Maryland. Mtangazaji mahiri wa Radio na muuliza maswali tata, Mubelwa...

 

9 years ago

Vijimambo

11 years ago

BBC

Lupita Nyong'o in Lancome deal

Lupita Nyong'o, an Oscar winner for her role in 12 Years A Slave, becomes the first black ambassador for French cosmetics giant Lancome.

 

10 years ago

Vijimambo

PHOTO — Lupita Nyong’o Pregnant..?


It’s pregnancy season and everyone seems to be looking forward to that bundle of joy. Esther Passaris was thought to be expectant after pictures showing her protruding belly started doing rounds, but she confirmed that she has just gotten fat.Hollywood girl Lupita Nyong’o’s pregnant picture is also doing rounds, but if you were among those who had fallen for it, it’s just some average photoshop skills.
The Original;

 

11 years ago

BBC

Lupita Nyong'o named most beautiful

Kenyan Oscar-winning actress Lupita Nyong'o, 31, is named the world's most beautiful person for 2014 by the US People magazine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani