Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHEZA SINEMA HARRISON FORD ANUSURIKA KIFO

HARRISON FORD ANUSURIKA KIFO Ndegevita iliyotumika kwenye vita kuu vya pili va Dunia aliyokua akiendesha mcheza sinema aliyejipatia umaarufu kwenye sinea ya Indiana Jones Harrison Ford halimanusra ichukue uhai wake baada ya ndege hiyo inayotumia injini moja kuzimika muda mfupi baada ya kupaa na kuangukia kwenye viwanja vya gofu California. Harrison Ford ni rubani mzoefu na wa siku nyingi japo pia hapo nyuma alishapata ajali ya helkopa ilipoanguka baada ya kupata itilafu kwenye ingini. Katika...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mcheza sinema wa kenya lupita nyong’o, mfano wa haiba ya kiafrika

Kabla ya kuanza safu hii, dada zangu, tuelewane moja. Leo mwanamke anapitia kipindi kigumu zaidi, kitaswira. Akivaa vibaya atabezwa, akivaa vizuri, anaringa; asipojijali atazomewa eti mchafu. Kama alivyo kipepeo na rangi rangi, mwanamke anapaswa awe tayari saa zote kuwe ukungu, jua hata vumbi.

 

10 years ago

Vijimambo

MCHEZA SINEMA WA BONGO MOVI CHARLES MAGALI ATEMBELEA KILIMANJARO STUDIO, WASHINGTON, DC.

 Kutoka kushoto ni One Mic akiwa pamoja na Dj MO ndani ya studio ya Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland nchini Marekani. Mcheza sinema wa Bongo Movi, Charles Magali ambaye pia ni mwimbaji wa nyimbo za dansi(kushoto) akiwa na mwenyeji wake Kenyatta wakiwa ndani ya Studio ya Kilimanjaro. Charles Magali akifanyiwa mahojiano na matangazaji mahairi wa Radio Mubelwa Bandio ndani ya studio ya Kilimanjaro iliyopo Beltsville, Maryland. Mtangazaji mahiri wa Radio na muuliza maswali tata, Mubelwa...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Harrison Ford and Calista Flockhart Reveal the Secret to Their Nearly 20-Year Marriage

Harrison Ford and Calista Flockhart Reveal the Secret to Their Nearly 20-Year Marriage  Showbiz Cheat Sheet

 

5 years ago

CinemaBlend

Harrison Ford Says Indiana Jones 5 Resolves Part Of Indy's History

Harrison Ford Says Indiana Jones 5 Resolves Part Of Indy's History  CinemaBlendIndiana Jones 5 Starts Filming Soon!  WhatCultureIndiana Jones 5 Will "See Part of His History Resolved," According to Harrison Ford  IGN NordicIndiana Jones 5 Starts Shooting In Two Months Says Harrison Ford  Screen RantHarrison Ford Talks Fifth 'Indiana Jones' Film  ET CanadaView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

STEVEN KANUMBA AREKODI SINEMA INAYOAKISI KIFO CHAKE - 8

Aliyekuwa mwigizaji nguli wa filamu za bongo movies, Marehemu Steven Charles Kanumba "Kanumba" enzi za uhai wake. WIKI iliyopita tuliishia pale Kanumba alipoanzisha uhusiano na mwigizaji ambaye wakati huo alikuwa kinda wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Uhusiano wao ulikuwa wa siri sana na watu wengi waliubaini pale Kanumba alipofariki.
ENDELEA... Mbali na kufanya vizuri katika anga la filamu, Kanumba...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD NA HOFU YA KIFO

Stori: Gladness Mallya DUH! Staa  wa filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa anakiona kifo chake hivyo anawaomba msamaha aliowakosea na kuwasamehe waliomkosea. Staa  wa filamu Bongo, Shamsa Ford akipozi. Akistorisha na gazeti hili, Shamsa alisema ameamua kuanza kujisafishia njia kwani yeye ni binadamu na umauti unaweza kumkuta muda wowote hata kama akiwa mzima. “Ninaomba msamaha kwa wote niliowakosea kwani mimi ni...

 

10 years ago

GPL

MSUNGU ANUSURIKA KIFO


Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Stanley Msungu ‘Senetor’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali na gari lake kuharibika vibaya. Msanii wa filamu Bongo, Stanley Msungu ‘Senetor’. Akipiga stori na gazeti hili, Msungu alisema anamshukuru Mungu kwani ungekuta sasa hivi ni maiti kwani ajali ilikuwa ni mbaya maeneo ya Bondeni, jijini Dar akielekea nyumbani kwake Tegeta ambapo gari lake...

 

11 years ago

Habarileo

Lowassa anusurika kifo

ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu wa zamani ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo, jana mchana.

 

10 years ago

GPL

MAMA ANUSURIKA KIFO

Sehemu ya gari ilipogongwa. Pembeni ni uzio wa magari uliowekwa na kamapuni ya Strabag. Umati wa watu wakiwa eneo la ajali  MAMA mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, amenusurika kifo baada ya gari lake aina…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani