Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanumba The Great Films Haijafungwa- Nova

Production Manager wa kampuni ya marehemu Steven Kanumba Kanumba The Great Films Novatus Mayenja ‘Nova’ amefunguka kwa kukanusha kuwa kampuni hiyo imefilisika bali imehamishwa kutoka mitaa ya Sinza na kurudishwa nyumbani mitaa ya Kimara Temboni.

“Kampuni ipo kama kawaida isipokuwa tu, utaratibu umebadilika kwa kuhamisha ofisi kutoka ilipokuwa na kuhamishia nyumbani kwa mama Kanumba na kazi zinaendelea kama kawaida,”anasema Nova.

Nova amedai kuwa tatizo lilikuwa ni kodi kwani kodi imekuwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Kanumba’s vacuum still a thorn in Bongo films

This week the entertainment fraternity commemorated the second anniversary of Steve Kamumba’s death which coincided with Karume Day which is a public holiday.

 

5 years ago

Gizmochina

Huawei's Nova 7 Pro and Nova 7 visit TENAA

Huawei's Nova 7 Pro and Nova 7 visit TENAA  gizmochinaHuawei's Kirin 820 5G outperforms Snapdragon 855 and Kirin 980 - GSMArena.com news  GSMArena.comHuawei Kirin 820 5G on GeekBench, Snapdragon 855-Like Performance  Gizchina.comThe new Kirin 820 SoC is on par with the Snapdragon 855: new leak  Notebookcheck.netKirin 820 5G Geekbench scores reveal it is more powerful than the Kirin 980  gizmochinaView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

KANUMBA THE GREAT YAKARABATIWA

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya kampuni ya marehemu Steven Kanumba, Kanumba The Great Film kudaiwa kufungwa, sasa imekarabatiwa na kuanza kazi upya. Marehemu Steven Kanumba, Kanumba The Great enzi za uhai wake. Mwanahabari wetu alifika kwenye ofisi hizo Jumatano iliyopita ambapo alishuhudia baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo walifanyia usafi vifaa mbalimbali kwa ajili ya kuanza kazi upya. “Tulifunga kwa muda lakini...

 

11 years ago

GPL

MAYA AIKACHA KANUMBA THE GREAT

Stori: Emelder Tarimo NDO basi tena! Staa wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa kwa sasa amejikita katika kupiga kazi za nje ya Kampuni ya Kanumba The Great Film hivyo asiulizwe kuhusu kampuni hiyo aliyofanya nayo kazi kwa muda mrefu. Staa wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Akichonga na mwanahabari wetu, Maya alitiririka kuwa ameamua kuiweka kando kampuni hiyo na kujikita...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uzinduzi ‘Kanumba The Great Foundation’ Aprili 7

UZINDUZI wa Taasisi ya Steven Kanumba ijulikanayo kwa jina la ‘Kanumba The Great Foundation’ unatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini Dar es Salaam, Aprili 7, mwaka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"

Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.

Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.

Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...

 

5 years ago

Engadget

The COVID-19 Humble Bundle pairs great games with a great cause

The COVID-19 Humble Bundle pairs great games with a great cause  EngadgetHumble Bundle's Conquer Covid-19 bundle offers $1,000 worth of games and books for just $30  TechradarHumble Bundle announces the Conquer COVID-19 bundle - MSPoweruser  MSPoweruserSomebody dropped $10,000 on Humble Bundle's 'Conquer COVID-19' collection  PC GamerPlay all the games and read all the books with the gigantic Humble Conquer COVID-19 Bundle  Critical HitView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kanumba Day: Wastara Ana Haya Kuhusu Kitabu cha Kanumba

“Hiki kitabu chenye historia yako chatosha kunifanya nione umuhimu mkubwa uliokuwa nao katika tasnia na safari ndefu uliyopitia mpka ulimwengu kkutambua wew ni nani yoyte mwenye moyo wa dhati na asiyechoka na kukata siku zote atasimama nakufuata njia ulizopita duniani ni njia tu lakini jinsi utakavyoipita njia hii ndivyo utakavyowapa watu kumbukumbu ya kukkumbuka kilasiku tunakukumbuka sana lakini kifo ni safari ya lazima aina rushwa wala aikwepeki tuko nyuma yako mungu akusamehe makosa yako...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani