Kanumba The Great Films Haijafungwa- Nova
Production Manager wa kampuni ya marehemu Steven Kanumba Kanumba The Great Films Novatus Mayenja ‘Nova’ amefunguka kwa kukanusha kuwa kampuni hiyo imefilisika bali imehamishwa kutoka mitaa ya Sinza na kurudishwa nyumbani mitaa ya Kimara Temboni.
“Kampuni ipo kama kawaida isipokuwa tu, utaratibu umebadilika kwa kuhamisha ofisi kutoka ilipokuwa na kuhamishia nyumbani kwa mama Kanumba na kazi zinaendelea kama kawaida,”anasema Nova.
Nova amedai kuwa tatizo lilikuwa ni kodi kwani kodi imekuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen11 Apr
Kanumba’s vacuum still a thorn in Bongo films
5 years ago
Gizmochina23 Mar
Huawei's Nova 7 Pro and Nova 7 visit TENAA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeHO-eT7-ciRZrtFZ9nJ4TAOGuWgY8JYnHhrMWvmnoZT6SM6WPOwHkJSnBK-2O2AYFXP3m1d87lUmO*gGMKcqpBG/KANUMBA.jpg?width=650)
KANUMBA THE GREAT YAKARABATIWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpMwZcdb2hOScS*ERX0joxH2Ihkco2drdfp1Z6j4M6qXj9kVyugvnXtC6z6n3TXuK1*jPp7YsHrmNaauQcC7Kog/Maya.jpg?width=650)
MAYA AIKACHA KANUMBA THE GREAT
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Uzinduzi ‘Kanumba The Great Foundation’ Aprili 7
UZINDUZI wa Taasisi ya Steven Kanumba ijulikanayo kwa jina la ‘Kanumba The Great Foundation’ unatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini Dar es Salaam, Aprili 7, mwaka...
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"
Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.
Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...
5 years ago
Engadget01 Apr
The COVID-19 Humble Bundle pairs great games with a great cause
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Kanumba Day: Wastara Ana Haya Kuhusu Kitabu cha Kanumba
“Hiki kitabu chenye historia yako chatosha kunifanya nione umuhimu mkubwa uliokuwa nao katika tasnia na safari ndefu uliyopitia mpka ulimwengu kkutambua wew ni nani yoyte mwenye moyo wa dhati na asiyechoka na kukata siku zote atasimama nakufuata njia ulizopita duniani ni njia tu lakini jinsi utakavyoipita njia hii ndivyo utakavyowapa watu kumbukumbu ya kukkumbuka kilasiku tunakukumbuka sana lakini kifo ni safari ya lazima aina rushwa wala aikwepeki tuko nyuma yako mungu akusamehe makosa yako...