Uzinduzi ‘Kanumba The Great Foundation’ Aprili 7
UZINDUZI wa Taasisi ya Steven Kanumba ijulikanayo kwa jina la ‘Kanumba The Great Foundation’ unatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini Dar es Salaam, Aprili 7, mwaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"
Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.
Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...
10 years ago
Bongo514 Jan
Mama Kanumba asikitishwa na wasanii pamoja na wadau wa filamu kususia uzinduzi wa kitabu cha Kanumba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeHO-eT7-ciRZrtFZ9nJ4TAOGuWgY8JYnHhrMWvmnoZT6SM6WPOwHkJSnBK-2O2AYFXP3m1d87lUmO*gGMKcqpBG/KANUMBA.jpg?width=650)
KANUMBA THE GREAT YAKARABATIWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpMwZcdb2hOScS*ERX0joxH2Ihkco2drdfp1Z6j4M6qXj9kVyugvnXtC6z6n3TXuK1*jPp7YsHrmNaauQcC7Kog/Maya.jpg?width=650)
MAYA AIKACHA KANUMBA THE GREAT
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Kanumba The Great Films Haijafungwa- Nova
Production Manager wa kampuni ya marehemu Steven Kanumba Kanumba The Great Films Novatus Mayenja ‘Nova’ amefunguka kwa kukanusha kuwa kampuni hiyo imefilisika bali imehamishwa kutoka mitaa ya Sinza na kurudishwa nyumbani mitaa ya Kimara Temboni.
“Kampuni ipo kama kawaida isipokuwa tu, utaratibu umebadilika kwa kuhamisha ofisi kutoka ilipokuwa na kuhamishia nyumbani kwa mama Kanumba na kazi zinaendelea kama kawaida,”anasema Nova.
Nova amedai kuwa tatizo lilikuwa ni kodi kwani kodi imekuwa...
11 years ago
GPLKANUMBA FOUNDATION YAZINDULIWA USIKU WA KUAMKIA LEO DAY DAR LIVE
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/h9kjpu9gp70/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies11 Jan
Picha:Uzinduzi Wa Kitabu Cha Kanumba Hapo Jana
NAIBU Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Vijana, Makongoro Mahanga, jana amezindua rasmi kitabu cha marehemu Steven Charles Kanumba, Kinachoitwa ''Steven Charles Kanumba: The Great Fallen Tree'' kilichoandikwa na Emmanuel Zirimwabagabo, raia wa Congo anayeishi nchini Canada.
Akizungumza na wadau waliohudhuria hafla hiyo alisema vijana wanapaswa kutumia vipaji vyao kwa kujituma, kuthubutu na kufanya kazi kwa nguvu kama marehemu Kanumba na si kulalamika kila siku, jambo linalopelekea kuibuka...