Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UZINDUZI WA TANZANIA MEDIA FOUNDATION

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

uzinduzi wa Tanzania Media Foundation (TMF) wanafana usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,  Utamaduni na Michezo, Mama Sihaba Nkinga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tanzania Media Foundation - Mfuko wa Habari Tanzania - TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. Mfuko huu unachukua nafasi ya Tanzania Media Fund  Mwenyekiti wa Bodi ya TMF Mama Halima Shariff akitoa neno la shukurani baada ya bodi hiyo kuzinduliwa usiku wa kuamkia leo  katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania Media Foundation (TMF) mpya yazinduliwa rasmi!

2m Mwenyekiti wa Bodi ya TMF Mama Halima Shariff akitoa neno la shukurani baada ya bodi hiyo kuzinduliwa usiku wa Septemba 22.2015, katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. 

1mKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,  Utamaduni na Michezo, Mama Sihaba Nkinga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tanzania Media Foundation – Mfuko wa Habari Tanzania – TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia Septemba 22.2015 kwenye ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. Mfuko huu unachukua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uzinduzi ‘Kanumba The Great Foundation’ Aprili 7

UZINDUZI wa Taasisi ya Steven Kanumba ijulikanayo kwa jina la ‘Kanumba The Great Foundation’ unatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini Dar es Salaam, Aprili 7, mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MANJANO FOUNDATION YAKAMILIKA

Wasichana waliochaguliwa kunufaika na Mpango hup wakiwa Katika Picha ya Pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear illusions Ltd. Mama  Shekha Nasser .

Shear Illusions inasherehekea mwongo mmoja wa urembo nchini Tanzania kwa kuzindua vipodozi vyake ijulikanayo kama LuvTouch Manjano!Uzinduzi huu utafanyika tarehe 31 Mei 2015 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee VIP Hall. Shamrashamra hizi pia itatoa fursa kwa kuendeleza mtandao wa kibiashara kwa kina mama na pia mada mbali mbali ya jinsi ya kujikwamua...

 

11 years ago

Dewji Blog

Uzinduzi rasmi wa Faridas Foundation wafana

1

 

Mkurugenzi  Farida A. Sekimonyo wa Faridas Foundation akiomba Sala ya  uzinduzi rasmi wa Foundation hiyo.

2

Mshehereshaji wa Shughuli ya uzinduzi wa Faridas Foundation Taji Liundi.

3

Elias Masaki katibu mkuu ‘CHAWATA’ na pia mweka hazina Shirikisho la watu wenye ulemavu akichangia  mawazo kuhusiana na jinsi Farida Foundation inavyofanya kazi zake kwa jamii.

4

Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia maada mbalimbali zilizokuwa zikiendelea katika uzinduzi wa Faridas Foundation.

5

Kassim  Kibwe...

 

9 years ago

IPPmedia

Media fund now a foundation as it marks eighth anniversary


IPPmedia
Media fund now a foundation as it marks eighth anniversary
IPPmedia
The Tanzania Media Fund (TMF) has over the past eight years since its establishment provided over 570 grants to individual journalists and over 120 to media institutions. This was revealed by TMF Director, Ernest Sungura at a press conference to ...

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI YA FARIDA FOUNDATION KUFANYA UZINDUZI TAREHE 28/06/2014



 Taasisi ya Faridas foundation inatarajia kufanya uzinduzi wake rasmi siku ya tar 28/6/2014 siku ya jumamosi katika ukumbi wa crystal hall, blue pearl hotel, ubungo plaza kuanzia saa 6 hadi 12 jioni.  Katika siku hyo taasisi itatoa misaada mbali mbali kwa walemavu ikiwemo baiskeli za walemavu, vyerehani, vifaa vya shule na vifaa vingine muhimu kwa walemavu ukiwa kama mdau au mtanzania unayeguswa na walemavu na ungependa kuhudhuria siku hyo maalumu kadi zinapatikana kwa mchango wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Uzinduzi na utambulisho wa Shirika La Save Vulnerable Foundation wafanyika jijini Dar

Katibu Mkuu wa Shirika la Kusaidia watu wenye ulemavu na mahitaji maalumu la Save Vulnerable Foundation, Leontine Rwechungura (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi na utambulisho wa shirika hilo. Kulia ni Ofisa Habari wa Shirika hilo, Eunice Mjema na Mwenyekiti, Fredy Kaula.

2

Mwenyekiti wa Shirika hilo, Fredy Kaula (kushoto), akizungumza kwenye uzinduzi huo.

Ofisa Miradi wa Shirika hilo, Rojas Rwanda (kushoto), akisalimia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani