Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAYA AIKACHA KANUMBA THE GREAT

Stori: Emelder Tarimo NDO basi tena! Staa wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa kwa sasa amejikita katika kupiga kazi za nje ya Kampuni ya Kanumba The Great Film hivyo asiulizwe kuhusu kampuni hiyo aliyofanya nayo kazi kwa muda mrefu. Staa wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Akichonga na mwanahabari wetu, Maya alitiririka kuwa ameamua kuiweka kando kampuni hiyo na kujikita...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAYA AZIDIWA, AIKOSA KANUMBA DAY

Na Erick Evarist MWIGIZAJI ambaye ambaye alikuwa akifanya kazi kwa karibu sana na marehemu Steven Kanumba, Mayasa Mrisho ‘Maya’ alijikuta akishindwa kuhudhuria siku maalum ya marehemu baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa malaria. Mwigizaji wa Bongo Muvi, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Siku ya Kanumba Day iliadhimishwa Jumatatu iliyopita ambapo ndugu pamoja na baadhi ya wasanii walijumuika pamoja kufanya maombi...

 

11 years ago

GPL

KANUMBA THE GREAT YAKARABATIWA

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya kampuni ya marehemu Steven Kanumba, Kanumba The Great Film kudaiwa kufungwa, sasa imekarabatiwa na kuanza kazi upya. Marehemu Steven Kanumba, Kanumba The Great enzi za uhai wake. Mwanahabari wetu alifika kwenye ofisi hizo Jumatano iliyopita ambapo alishuhudia baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo walifanyia usafi vifaa mbalimbali kwa ajili ya kuanza kazi upya. “Tulifunga kwa muda lakini...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kanumba The Great Films Haijafungwa- Nova

Production Manager wa kampuni ya marehemu Steven Kanumba Kanumba The Great Films Novatus Mayenja ‘Nova’ amefunguka kwa kukanusha kuwa kampuni hiyo imefilisika bali imehamishwa kutoka mitaa ya Sinza na kurudishwa nyumbani mitaa ya Kimara Temboni.

“Kampuni ipo kama kawaida isipokuwa tu, utaratibu umebadilika kwa kuhamisha ofisi kutoka ilipokuwa na kuhamishia nyumbani kwa mama Kanumba na kazi zinaendelea kama kawaida,”anasema Nova.

Nova amedai kuwa tatizo lilikuwa ni kodi kwani kodi imekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uzinduzi ‘Kanumba The Great Foundation’ Aprili 7

UZINDUZI wa Taasisi ya Steven Kanumba ijulikanayo kwa jina la ‘Kanumba The Great Foundation’ unatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini Dar es Salaam, Aprili 7, mwaka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"

Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.

Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.

Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...

 

5 years ago

Engadget

The COVID-19 Humble Bundle pairs great games with a great cause

The COVID-19 Humble Bundle pairs great games with a great cause  EngadgetHumble Bundle's Conquer Covid-19 bundle offers $1,000 worth of games and books for just $30  TechradarHumble Bundle announces the Conquer COVID-19 bundle - MSPoweruser  MSPoweruserSomebody dropped $10,000 on Humble Bundle's 'Conquer COVID-19' collection  PC GamerPlay all the games and read all the books with the gigantic Humble Conquer COVID-19 Bundle  Critical HitView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kanumba Day: Wastara Ana Haya Kuhusu Kitabu cha Kanumba

“Hiki kitabu chenye historia yako chatosha kunifanya nione umuhimu mkubwa uliokuwa nao katika tasnia na safari ndefu uliyopitia mpka ulimwengu kkutambua wew ni nani yoyte mwenye moyo wa dhati na asiyechoka na kukata siku zote atasimama nakufuata njia ulizopita duniani ni njia tu lakini jinsi utakavyoipita njia hii ndivyo utakavyowapa watu kumbukumbu ya kukkumbuka kilasiku tunakukumbuka sana lakini kifo ni safari ya lazima aina rushwa wala aikwepeki tuko nyuma yako mungu akusamehe makosa yako...

 

10 years ago

Bongo Movies

MAMA KANUMBA: Skendo ya Kanumba iliyonitesa ni ya Ung'eng'e

Mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa  ambaye kwasasa  ameingia kwenye tasnia ya filamu hapa nchini  amefunguka kuwa hakuna skendo ambayo ilimsononesha kama ile ya mwanaye huyo kuambiwa hajui Kiingereza .

Mama Kanumba alifunguka hayo juzikati katika mahojiano maalum na Mwandishi Wetu : “Eti Kanumba hajui Kiingereza , hili lilinishtua sana nikalipinga kwa nguvu zote sababu najua mwanangu hata shule alikuwa kichwa, ” alisema mama Kanumba .

Skendo ya kudaiwa kutozungumza Kiingereza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani