Kanumba’s vacuum still a thorn in Bongo films
This week the entertainment fraternity commemorated the second anniversary of Steve Kamumba’s death which coincided with Karume Day which is a public holiday.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Kanumba The Great Films Haijafungwa- Nova
Production Manager wa kampuni ya marehemu Steven Kanumba Kanumba The Great Films Novatus Mayenja ‘Nova’ amefunguka kwa kukanusha kuwa kampuni hiyo imefilisika bali imehamishwa kutoka mitaa ya Sinza na kurudishwa nyumbani mitaa ya Kimara Temboni.
“Kampuni ipo kama kawaida isipokuwa tu, utaratibu umebadilika kwa kuhamisha ofisi kutoka ilipokuwa na kuhamishia nyumbani kwa mama Kanumba na kazi zinaendelea kama kawaida,”anasema Nova.
Nova amedai kuwa tatizo lilikuwa ni kodi kwani kodi imekuwa...
10 years ago
TheCitizen26 Sep
Digital blackhand stifling bongo films
9 years ago
Bongo Movies23 Dec
Wapenzi na Mashabiki wa Jerusalem Films na Bongo Movies kwa Ujumla, Pitieni hapa
Kutoka kwa mkurugenzi wa Jerusalem films, Jacob Stephen ‘JB’
![Shamsa Ford Akiwa na Baba Haji](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/shamsa-na-baba-haji.jpg)
Shamsa Ford Akiwa na Baba Haji
RATIBA kutoka Jerusalem films, movie yetu itakayo fata baada ya Chungu cha Tattu ni Chale Mvuvi, washiriki ni Shamsa Ford na Haji Adam ‘Baba Haji’, Mzee Halikuniki, Makombora , Mzee Chepuo na wengine. Movie hii ili tengenezewa zanzibar mwaka 2013, movie hii itafuatiwa na Kalambati Lobo, washiriki Diana kimaro na Jacob Stephen. Movie hii ilitengenezwa mwaka 2014. Sasa hivi tuko kwenye maandalizi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA2xo4zwDjNQFun3BNKjBEZB2I2IC1b4LKunhjtu-gB3SDCmzPsVatnmo0Dd3Wj9tIw9rywWfj6WZvcUbzAeAEMD/dokii.jpg)
LAANA YA KANUMBA YAIMALIZA BONGO MUVI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLoMO6taC5Q6neckx*JnkXcoDi69oDct9nwxpuBzBgQpaTkpOYitLmVipJDbbh-8jN1obstJeaSOZUgeD*xC7h6x/Q.gif)
BABA HAJI: KANUMBA AMEONDOKA NA SANAA YA BONGO
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kanumba Day yafufua matumaini ya filamu Bongo
11 years ago
Daily News14 Mar
'Bongo Movie' to celebrate 3 years, honour Kanumba
Daily News
Daily News
MEMBERS of the domestic film industry, 'Bongo Movie', will mark three years anniversary cerebrations on March 28, this year, when some actors/actress stars, including the late Steven Kanumba and several others, will be honoured. This was announced in ...
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"
Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.
Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...
11 years ago
GPLTUNDAMAN, SNURA, BONGO MUVI WAFUNIKA KANUMBA DAY