Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michael Schumacher apata fahamu

Michael Schumacher alitoka hospitalini Grenoble na ataendelea kuishi kwa hali yake ya kawaida

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Michael Schumacher kuanza 'kuamshwa'

Madaktari wanaomtibu mwendeshaji mashuhuri wa magari ya langalanga mjerumani Michael Schumacher wameanza kumrejeshea fahamu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Michael Schumacher 'aonyesha dalili nzuri'

Bingwa wa zamani wa Fomula 1 Michael Schumacher, amekuwa akionyesha dalili nzuri baada ya madaktari kuanza 'kumuamsha'

 

11 years ago

GPL

MICHAEL SCHUMACHER BADO YUPO KWENYE COMA

Michael Schumacher akicheza katika barafu. Schumacher mmoja wa wanamichezo wanaopendwa sana Ujerumani. BINGWA mara saba wa zamani wa mbio za magari za Formula One, Michael Schumacher bado yuko mahututi akiwa kwenye ‘coma’ katika hospitali ya Chuo cha Grenoble, Ufaransa baada ya kuanguka na kujigonga kwenye mwamba wakati akicheza michezo ya kwenye barafu jana pamoja na mwanaye wa kiume.… ...

 

10 years ago

Bongo5

Michael Jordan anaingiza dola milioni 100 kila mwaka, fahamu zinakotoka

Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu, Michael Jordan aliingiza dola milioni 100 kutoka kwa Nike na washirika wengine mwaka jana kwa mujibu wa mtandao wa Forbes, kuliko mwanamichezo yeyote aliyestaafu. Pesa aliyoingiza mwaka jana, ni zaidi ya dola milioni 90 ya mshahara aliolipwa kwenye kipindi cha miaka 15 aliyochezea kwenye timu za Chicago Bulls […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Michael Olaitan apata nafuu

Hali ya afya ya mshambuliaji wa Olympiakos Michael Olaitan aliyezirai uwanjani inasemekana kuwa nzuri

 

9 years ago

Bongo5

Lamar Odom apata fahamu baada ya tatu

Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani, Lamar Odom amepata fahamu baada ya hivi karibuni kupatikana akitokwa na damu puani na mdomoni na kupoteza fahamu kutokana na kutumia kiasi kikubwa cha madawa ya kulevya. Taarifa zimedai kuwa Odom alizungumza na kunyoosha kidole akiwa kwenye kitanda chake cha hospitali alikolazwa. […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Lamar Odom apata fahamu siku 3 baadaye

Mchezaji wa zamani wa mpira wa vikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani Lamar Odom hatimaye amepata fahamu siku tatu baada kuzirai ndani ya danguro katika jimbo la Nevada.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto aliyenusurika kimuujiza Sudan Kusini apata fahamu

Msichana wa umri wa miezi 14 aliyenusurika ajali ya ndege mjini Juba, Sudan Kusini Jumatano amepata fahamu, madaktari wamesema

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani