Michael Schumacher apata fahamu
Michael Schumacher alitoka hospitalini Grenoble na ataendelea kuishi kwa hali yake ya kawaida
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Michael Schumacher kuanza 'kuamshwa'
Madaktari wanaomtibu mwendeshaji mashuhuri wa magari ya langalanga mjerumani Michael Schumacher wameanza kumrejeshea fahamu.
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Michael Schumacher 'aonyesha dalili nzuri'
Bingwa wa zamani wa Fomula 1 Michael Schumacher, amekuwa akionyesha dalili nzuri baada ya madaktari kuanza 'kumuamsha'
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6bpErHZweCMNza9MNKu4*wucoBdb9tFrh*FftxtP69BagaY6x*e8pPKAWd53snrwz3d0U1ShyufP3bbsGVoykk/michael.jpg?width=650)
MICHAEL SCHUMACHER BADO YUPO KWENYE COMA
Michael Schumacher akicheza katika barafu. Schumacher mmoja wa wanamichezo wanaopendwa sana Ujerumani. BINGWA mara saba wa zamani wa mbio za magari za Formula One, Michael Schumacher bado yuko mahututi akiwa kwenye ‘coma’ katika hospitali ya Chuo cha Grenoble, Ufaransa baada ya kuanguka na kujigonga kwenye mwamba wakati akicheza michezo ya kwenye barafu jana pamoja na mwanaye wa kiume.… ...
10 years ago
Bongo512 Mar
Michael Jordan anaingiza dola milioni 100 kila mwaka, fahamu zinakotoka
Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu, Michael Jordan aliingiza dola milioni 100 kutoka kwa Nike na washirika wengine mwaka jana kwa mujibu wa mtandao wa Forbes, kuliko mwanamichezo yeyote aliyestaafu. Pesa aliyoingiza mwaka jana, ni zaidi ya dola milioni 90 ya mshahara aliolipwa kwenye kipindi cha miaka 15 aliyochezea kwenye timu za Chicago Bulls […]
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Michael Olaitan apata nafuu
Hali ya afya ya mshambuliaji wa Olympiakos Michael Olaitan aliyezirai uwanjani inasemekana kuwa nzuri
9 years ago
Bongo519 Oct
Lamar Odom apata fahamu baada ya tatu
Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani, Lamar Odom amepata fahamu baada ya hivi karibuni kupatikana akitokwa na damu puani na mdomoni na kupoteza fahamu kutokana na kutumia kiasi kikubwa cha madawa ya kulevya. Taarifa zimedai kuwa Odom alizungumza na kunyoosha kidole akiwa kwenye kitanda chake cha hospitali alikolazwa. […]
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Lamar Odom apata fahamu siku 3 baadaye
Mchezaji wa zamani wa mpira wa vikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani Lamar Odom hatimaye amepata fahamu siku tatu baada kuzirai ndani ya danguro katika jimbo la Nevada.
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mtoto aliyenusurika kimuujiza Sudan Kusini apata fahamu
Msichana wa umri wa miezi 14 aliyenusurika ajali ya ndege mjini Juba, Sudan Kusini Jumatano amepata fahamu, madaktari wamesema
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania