Wakala: Hali ya Shumacher yaimarika
Michael Schumacher aanza kupata fahamu baada ya kutojitambua kwa muda mrefu hospitalini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili31 Dec
Hali ya Schumacher yaimarika
10 years ago
Habarileo11 Nov
Hali ya Rais Kikwete yaimarika
HALI ya Rais Jakaya Kikwete ambaye mwishoni mwa wiki alifanyiwa operesheni ya tezi dume, inaendelea kuimarika na ameanza kufanya mazoezi ya kutembea.
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Hali ya Fernando Alonso yaimarika
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Hali ya Rage yaimarika Aga Khan
![Ismail Aden Rage](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Mwenyekiti-wa-Simba.jpg)
Ismail Aden Rage
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
HALI ya aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, imezidi kuimarika ambapo kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.
Rage alipata ajali juzi mkoani Dodoma, akiwa pamoja na majeruhi wenzake wanne walilazwa katika hospitali ya mkoa huo kabla ya kuhamishiwa Aga Khan.
Akizungumza Dar es Salaam jana akiwa hospitalini hapo, Rage alisema anaendelea vizuri ambapo kwa mujibu wa daktari alisema itamchukua wiki tatu...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Afya ya Marsh yaimarika
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Afya ya Pele yaimarika
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Shilingi yaimarika sokoni
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Afya ya Mbowe yaimarika
AFYA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, imeimarika na tayari ameruhusiwa kutoka hospitalini.
Mbowe alilazwa Muhimbili baada ya afya yake kutetereka wakati akitoka kumsindikiza mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, kuchukua fomu ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwanzoni mwa wiki hii.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene, alisema Mbowe yupo nyumbani kwake kwa sasa kwa mapumziko...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6H8gBDNMEY/VIVjIbUrWrI/AAAAAAAG16A/Rbr5217A81c/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...