Davido atoka hospitalini nchini Gambia
Mwanamuziki staa wa Nigeria, Davido.
MWANAMUZIKI staa wa Nigeria, Davido, aliyekuwa nchini Gambia hivi karibuni, alishindwa kuhudhuria tamasha la tuzo za wanamuziki la Headies Award kutokana na uchovu ambapo ilibidi alazwe hospitalini.
Akijibu swali kwa nini hakuhudhuria tamasha hilo, Davido alisema hakuona sababu yoyote ya kufanya hivyo kwani hata tuzo tatu alizoshindwa mwaka 2014 hadi leo hajapewa.
“Nilikuwa Gambia, kaka, lakini hata tuzo tatu nilizoshinda mwaka jana, hazijatua mikononi...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MBOWE ATOKA HOSPITALINI
![Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2830476/highRes/1089166/-/maxw/600/-/u4gjjw/-/pic+mbowe.jpg)
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.
Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Fernando Alonso: atoka hospitalini
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Rais wa Algeria atoka hospitalini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s72-c/D92A3572.jpg)
Rais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s1600/D92A3572.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LI2HmyCrfJk/VGYF7vzlGWI/AAAAAAAGxHg/Mdp74v-JV-0/s1600/D92A3578.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F6r1Cxrj1fQ/VGYF8zhCLEI/AAAAAAAGxH4/WKWcGgvEim0/s1600/D92A3585.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0hLJubOf_0w/VGYF-WXHfOI/AAAAAAAGxIA/vLww_SynnHw/s1600/D92A3589.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU
![](https://3.bp.blogspot.com/-im4ZssaVwew/VGPd89tB-QI/AAAAAAADM9Y/L87FHyVzHg8/s1600/D92A3572.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-th7Arf60apI/VGPd7fXmYvI/AAAAAAADM9A/-tIzLXA2Ldo/s640/D92A3578.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
![](https://3.bp.blogspot.com/-yLH6j4ufXYY/VGPd84G4oXI/AAAAAAADM9I/V0aYpAW5LIA/s640/D92A3585.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wYblzgWf_dU/VGPd_a0dK7I/AAAAAAADM9o/1TYhWZNHSSM/s1600/D92A3589.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Maelfu ya watoto njiti hufa hospitalini nchini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rIH0WR7WlvY/VEJ3RwGPZGI/AAAAAAAGrdI/URaG4XbjidI/s1600/3.jpg)