Baada ya Kupata Nafuu, Hili ndilo Neno la Shukrani Kutoka kwa Wastara
“Shukrani kwako uliyeniumba na ukanipa pumzi ya bule bila kukulipa chochote. Asante kwa wale wote wenye kuniombea mema na kunitakia mafanikio. Asante pia kwa wale wenye kuniombea mabaya mnanipa changamoto ambayo inanifanya nikaze buti kusaka mafanikio kwa kujua sio wote wanaonipenda nasio wote watalia leo nikianguka kimaisha au kufa asante kwa mnaonipa ushauri . Asante mnaonifariji naamini bila watu hakuna mtu mimi ni mtu nyinyi ni watu naendelea vyema na mtaendelea kupata huduma zangu za...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies06 Aug
Hili Ndilo Neno la Leo Kutoka Kwa JB
Kazi yoyote unayoifanya kama utaipenda na kuweka moyo wako hapo..kisha ukaweka bidii na kujituma una asilimia kubwa ya kufanikiwa...maisha ya misheni town kwa miaka hii inayo kuja yanaweza kukuweka pabaya...Mungu akubariki...hili ndilo neno la leo toka kwa mtumishi wa bwana...jb....
Jacob Stephen ‘JB’on instagram
10 years ago
Bongo Movies23 May
Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”
Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.
By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram
10 years ago
Bongo Movies27 May
Ujumbe wa Leo: Chukua Hili Kutoka kwa Wastara
Natamani Nijitanue Mdomo Nicheke Kidgo Hhhh Hii Picha Sijui Nimenuna au Nawaza.
Lakini Muhimu Pokea Hilo Ninalokupa Nakuhusia Sana, Usihuzunishwe na Hali ya Maisha Yako..Tazama na Jifunze kwa Viumbe Wengine,Tambua Siku Zote Ng'ombe wa Mbele Ndiye Anayechelewesha Msafara, lakini wa Nyuma Ndiye Anayechapwa Bakora, Jiamini, Usikate Tamaa, Mpite wa Mbele Ujinusuru na Bakora.MUNGU Hamtupi mja Wake, Pengine kesho ni Zamu yako. JITUME Mungu yu Pamoja Nawe.
Siku Njema!.
Wastara on Instagram
10 years ago
Vijimambo13 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU
![](https://3.bp.blogspot.com/-im4ZssaVwew/VGPd89tB-QI/AAAAAAADM9Y/L87FHyVzHg8/s1600/D92A3572.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-th7Arf60apI/VGPd7fXmYvI/AAAAAAADM9A/-tIzLXA2Ldo/s640/D92A3578.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
![](https://3.bp.blogspot.com/-yLH6j4ufXYY/VGPd84G4oXI/AAAAAAADM9I/V0aYpAW5LIA/s640/D92A3585.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wYblzgWf_dU/VGPd_a0dK7I/AAAAAAADM9o/1TYhWZNHSSM/s1600/D92A3589.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s72-c/D92A3572.jpg)
Rais Kikwete atoka Hospitalini Baada ya kupata nafuu
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nex2IG35i0w/VGYF7URXv2I/AAAAAAAGxHY/kqJVGbX7fE8/s1600/D92A3572.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LI2HmyCrfJk/VGYF7vzlGWI/AAAAAAAGxHg/Mdp74v-JV-0/s1600/D92A3578.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F6r1Cxrj1fQ/VGYF8zhCLEI/AAAAAAAGxH4/WKWcGgvEim0/s1600/D92A3585.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0hLJubOf_0w/VGYF-WXHfOI/AAAAAAAGxIA/vLww_SynnHw/s1600/D92A3589.jpg)
10 years ago
Bongo Movies25 Mar
Baada ya Kusambaa kwa Stori ya Kutoka na Aliekuwa Bwana wa Wolper , Wastara Amesema Haya
Kupitia ukurasa wake wa ‘fesibuku’ Wastara amendika;
“Kalamu ya muandishi imegeuka kuwa fimbo ya wanyonge tofauti na miaka ya nyuma,wanaandishi wanakula mishahara mara mbili wa kituoa anachofanyia kazi na wamtu anaempa habari,hivyo kuandika anachoambiwa sio anachokiona
Pesa inatumika kupotosha ukweli na ukweli ndio uongo waleo,nimeamini maneno yangekuwa sumu ningeshakufa zamani sana lakini kwakua mdomo nyumba ya maneno bado niko hai
Tupendane tushikamane na tuishi kwa usawa usipende kuonea...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
VIDEO YA SIKU RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOTOKA HOSPITALI BAADA YA KUPATA NAFUU
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa EdwardSchaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore,Maryland, Marekani alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji watezi dume mwishoni mwa wiki iliyopita.Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete na wasaidizi wake.
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...
10 years ago
VijimamboSTARS YAPOTEZA MCHEZO WA PILI BAADA YA KUPATA KICHAPO CHA BAO 2-0 KUTOKA KWA MADAGASCAR
Katika mchezo huo wa jana, Taifa...