Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ruth Odinga : Nilianza siasa nikiwa na umri wa miaka sita

Ruth Odinga ni Mbunge wa zamani na dada wa mwanasiasa machahari nchini Kenya, Raila Odinga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dickson Marwa: Nilianza kulea familia nikiwa shule

“Hakuna ubishi kwamba ukiweka juhudi kwenye michezo mafanikio yapo, familia yangu ina historia kubwa bila mimi kuwa mwanariadha sijui leo hii tungekuwa wapi.”

 

9 years ago

BBCSwahili

Umri ni miaka 26 lakini umbile ni miaka 10

Kutana na Hyomyung Shin,raia wa Korea anayeugua ugonjwa nadra wa 'Highlander Syndrome' unaomzuia kuzeeka !

 

10 years ago

GPL

RAIS UHURU KENYATTA AHANI MSIBA WA MTOTO WA RAILA ODINGA, FIDEL ODINGA

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisaini kitabu cha maombolezo alipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Raila Odinga, Fidel Odinga aliyefariki jana. Kulia ni mke wa Odinga, Ida Odinga. Rais Uhuru Kenyatta akimpa pole aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga huko Karen, Kenya.…

 

10 years ago

Mtanzania

20 Percent: Umri wangu ni mdogo kujihusisha na siasa

20%NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Abas Kinzasa ‘20 Percent’ amesema umri wake ni mdogo sana kujihusisha na masuala ya siasa kama ilivyo kwa rafiki yake, Afande Sele.
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, 20 Percent alisema kwa sasa anajipanga kurudi upya kwenye tasnia ya muziki, baada ya kuwa kimya kwa kipindi kirefu.
“Sijakaa kimya ili ni jihusishe na masuala ya siasa kama wengi wanavyofikiria, bali nina mipango yangu mingine kabisa,” alisema 20...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dj mwenye umri wa miaka 3

Wachezaji densi Afrika Kusini walipigwa na butwaa walipogundua DJ aliyekuwa akiporomosha densi alikuwa mtoto wa miaka 3

 

5 years ago

BBCSwahili

Raila Odinga afanyiwa upasuaji baada ya kuugua mgongo, Kaka wa Raila Odinga athibitisha

Kaka na masemaji wa familia Dkt Oburu Odinga azungumza na BBC kuhusu afya ya Raila Odinga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16

Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.

 

11 years ago

Mwananchi

Mugabe atimiza umri wa miaka 90

Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1980, ametimiza miaka 90.

 

10 years ago

Vijimambo

Umri wa kuolewa Uhispania ni miaka 16




Harusi uhispania
Uhispania imepandisha umri unaoruhusiwa kwa wasichana kuolewa hadi kumi na sita.Hadi sasa wasichana nchini humo wangeruhusiwa kuolewa wakiwa na miaka kumi na nne bora tu wapate ruhusa ya jaji.
Sheria hiyo mpya sasa inanuiwa kupunguza visa vya udhalilishaji wa watoto nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani