Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri sasa chapeni kazi

HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete juzi alikata mzizi wa fitina kwa kufanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri. Katika Baraza hilo ambalo liliapishwa jana, zimo sura mpya kumi, huku watano wakitupiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WIZARA YA KILIMO CHAPENI KAZI KWA WELEDI-KM KUSAYA


Menejimenti ya Wizara ya Kilimo imetakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuzingatia weledi katika kutekeleza maagizo ya Rais kuhakikisha nchi inaendelea kuwa na uhakika wa chakula.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya wakati wa hafla ya makabidhiano rasmi ya ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu Mhandisi Mathew Mtigumwe yaliyofanyika makao makuu ya wizara Mtumba mkoani Dodoma na kuhudhuriwa na Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo vya wizara.
Kusaya alisema wizara ya kilimo ina...

 

10 years ago

Vijimambo

Mawaziri wa sasa,wa Nyerere ,mbingu na nchi


Peter AmbilikileBARAZA la Mawaziri la sasa ambalo lina asilimia 95 ya wasomi na wenye umri zaidi ya miaka 50, limekuwa likikumbwa mara kwa mara na kashfa za ufisadi na kukosa uwajibikaji, ukilinganisha na baraza la Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Amani Abeid Karume.Uchambuzi uliofanywa na gazeti hili unaonesha kwamba kati ya mawaziri 31 kamili, ni mawaziri sita tu ndiyo wenye umri wa miaka chini ya 50.Mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (40), Waziri wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri 4 wasimamishwa kazi Kenya

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewasimamisha kazi kwa mda mawaziri wake wanne pamoja na maafisa wengine 12

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza awafuta kazi mawaziri 3

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, amewafuta kazi mawaziri watatu, huku maandamano yakiendelea katika mji mkuu kufuatia jaribio la mapinduzi, juma lililopita.

 

11 years ago

Habarileo

Si kazi ya Kamati Kuu kufukuza mawaziri-JK

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshikilia nembo ya chama hicho jana baada ya kuwasili Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kuhutubia kilele cha maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa CCM. (Picha na Ikulu).HATUA ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwahoji mawaziri wake, imefafanuliwa kwamba haikumaanisha kuwafukuza kazi.

 

11 years ago

Habarileo

Mawaziri waliofutwa kazi watoa ya moyoni

Rais Jakaya KikweteBAADA ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri watatu na mmoja kujiuzulu, kutokana na kashfa zilizotokana na Operesheni Tokomeza Ujangili, viongozi hao wamezungumza yaliyowasibu kila mmoja kwa staili yake.

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri 16 wa fedha walioifikisha Tanzania ilipo sasa tangu uhuru

Wakati ikiwa imebaki miezi miwili kwa Serikali ya awamu ya tano ambayo ni mpya kuingia madarakani, macho na masikio ya Watanzania wengi yanasubiri kushuhudia mabadiliko makubwa katika nyanja mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

Kiapo cha jasho, mawaziri wapania kazi

Hafla ya kuapishwa kwa mawaziri iliyofanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam ilikuwa kavu isiyo na shangwe zilizozoeleka huku mawaziri wakionekana wazi kuwa wamepania kufanyia kazi kiapo chao.

 

10 years ago

StarTV

Rais wa Burundi awatimua kazi mawaziri watatu.

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, amewafuta kazi mawaziri watatu, huku maandamano yakiendelea katika mji mkuu kufuatia jaribio la mapinduzi, juma lililopita.

Mawaziri walioachishwa kazi ni wa Ulinzi, mashauri ya nchi za kigeni na biashara.

Mapema hii leo, polisi walifyatua risasi hewani katika mji mkuu Bujumbura, kujaribu kuutawanya umati wa vijana uliokuwa ukifanya ghasia.

BBC

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani